Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Huwa nashangaa na kusikitika bahari yetu kuitwa ya hindi. Je kabla ya hapo ilikuwa inaitwaje wanangu? Je hatuwezi kuiita bahari ya Afrika au Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umekimbia shuleHuwa nashangaa na kusikitika bahari yetu kuitwa ya hindi. Je kabla ya hapo ilikuwa inaitwaje wanangu? Je hatuwezi kuiita bahari ya Afrika au Tanzania?
Wewe ambaye ulienda shule tupe elimuKwanini umekimbia shule
Huko Kagera ziwa Victoria linaitwa Rweru. Hata timu ya mkoa wa Kagera miaka ya nyuma ilikuwa inaitwa Rweru Eagles....utahitaje bahari ya Tanga wakati bahari imecover mamia ya nchi na maelfu ya mikoa ? Ndio maana wazungu walipokujq wakaipa jina la kidunia na sababu ni kuwa katika nchi zote zilizopitiwa na Indian Ocean ni India ndio inaongoza kwa kuwa na eneo kubwa (ikiwemo bandari) vipi na kuhusu ziwa Victoria ? Kabla wazee wa malkia kuja liliitwaje kwa huku Tz, Uganda na KE ?
Kwa upande wetu huu ilikuwa inaitwa "Bahari ya Afrika Mashariki."Huwa nashangaa na kusikitika bahari yetu kuitwa ya hindi. Je kabla ya hapo ilikuwa inaitwaje wanangu? Je hatuwezi kuiita bahari ya Afrika au Tanzania?
Umeongelea Supp umenikumbusha mbali sana .Usiangaike sana kujifunza vitu ambavyo havikusaidii, hii nmejifunza chuo prof anatoa notes mkasome sasa wasongo walikua wanasoma ad vile ambavyo prof ajasema tusome mwisho wa sku ukija kwa mtihani uvikuti ivyo ulivyosoma extra ila unakuta kile tu prof kasema msome kinachofuata ni sap tu sabu umesoma ambacho hakikusaidii
Hata ikiitwa bahari ya Tanzania hakuna kitakachobadilika ni majina tuHuwa nashangaa na kusikitika bahari yetu kuitwa ya hindi. Je kabla ya hapo ilikuwa inaitwaje wanangu? Je hatuwezi kuiita bahari ya Afrika au Tanzania?
Kumbe gabacholi!!!!!Huna ushawishi wowote halafu unataka mtaa upewe jina lako?
Nahin.
Enlightened!!Huko Kagera ziwa Victoria linaitwa Rweru. Hata timu ya mkoa wa Kagera miaka ya nyuma ilikuwa inaitwa Rweru Eagles.
Hiyo sio shida sana. Tuna Mto Ruhaha Mkuu, Mto Kilombero, na mingine mingi, lakini mwisho wa siku kuna point mito hiyo hukoma majina yake na Jina Mto Rufiji huzaliwa.Kwanza bahari dunia nzima ni moja tu hakuna bahari ya hindi atlantic au ocean hayo ni majina ya kieneo