Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Raisi wa nchi madaraka yake yapo kwenye katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (ambayo aitambui katiba ya vyama vya siasa) akishaapishwa.... mapendekezo mazuri, ila, kisheria, inabidi yaingizwe kwenye Katiba ya chama!
Hoja nje ya Katiba ni HOJA-MFU!
NB: ... UNAWEZA KUTUNGA SHERIA KATIKATI YA UCHAGUZI?
Raisi anatekeleza ilani ya chama
Katiba ya Tanzania inasema raisi ashitakiwi akiwa madarakani (ni sheria mama) chochote kilichopo kwenye sheria ya chama chako ni inferior.
Sana sana mwenyekiti wa chama anaweza endesha shughuli za chama tu, lakini mtu akishakuwa raisi. Chama akiwezi hata kumfanyia impeachment.
Japo raisi hatoweza kuingilia shughuli za chama chake kama katiba yao ilivyo; Iła chama chake nacho hakiwezi kum-control na yeye. Katika kipindi chake cha uraisi.
Iwapo mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi awaelewani; raisi si anakuwa anaenda kwa mtindo wake tu.
Matter of fact huo ndio utaratibu wa CDM toka 2010. Kuna sababu za msingi raisi kutambulika kama kiongozi wa chama kwa namna moja au nyingine anahitaji ushirikiano wa chama hasa kwenye nchi zenye mfumo wa unitary constitution.