Ndo mkome nani kawaambia kunyonyana ndo mapenzi!Si ulinyonya nyonyo kwa mamaako?!!Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza,hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha.
Kuna watu wameoza meno jameni....afu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi anataka kung'oka nao.La sivyo tuishie kunyonyana lips tu inatosha.
π
Sa itakuwaje?π
ππhao ni wataalamu wa kuzitafuna Anus mkuuUnaogopa kunyonya ulimi? Kuna mabaharia hapa wananyonya Hadi anus. Ngoja niwaite makapteni
Mzee wa kupambania
mzabzab
Nimekusoma lamama,Nimefuta comment yangu ila umenielewa?