The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Afu auachie na ugomjwa wa meno,Yakatike katike mala fizi zivimbeHa ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu auachie na ugomjwa wa meno,Yakatike katike mala fizi zivimbeHa ha ha
🤣🤣🤣fizi zivimbe?😀🙌🏿Afu auachie na ugomjwa wa meno,Yakatike katike mala fizi zivimbe
Hataki upoe kabisa, ila kaa mbali oooho🤣🤣🤣ananipeleka puta mno
Maana Winnone atanitoa nyongoHataki upoe kabisa, ila kaa mbali oooho
Sure,Afu Toyeye makatapela unanichora we mwananke.🤣🤣🤣fizi zivimbe?😀🙌🏿
🤣🤣🤣nafurahi kuona mapenzi hayachagui wa kumtesaSure,Afu Toyeye makatapela unanichora we mwananke.
Mimi binafsi siyataki tu aisee. Nimeyachoka.Nikisikia nyimbo za mapenz kichwa kinataman kipasuke.🤣🤣🤣nafurahi kuona mapenzi hayachagui wa kumtesa
Mi nasikiliza tu kibishiMimi binafsi siyataki tu aisee. Nimeyachoka.Nikisikia nyimbo za mapenz kichwa kinataman kipasuke.
Naona naibiwa sasa hivi aisee.Mi nasikiliza tu kibishi
Yaan kuna sauti inaniambia ole wakooNaona naibiwa sasa hivi aisee.
Komaa nayo hata kwa kupata mpenz wa kusex nae tu....hivihivi unajiumiza bureNaona naibiwa sasa hivi aisee.
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Yaan kuna sauti inaniambia ole wakoo
Wajinga sana hawa wadada.🤣🤣🤣🤣🙌🏿
Sisi,mi mmoja waoWajinga sana hawa wadada.
Mi nakwambia kuna watu wiki nzima hawapigi mswaki na hawanuki hata chembe. Wengine hata mwezi yaanii hanukiWeek zima mkuu? Haiwezekani
🤣🤣🤣🤣🤣Mi nakwambia kuna watu wiki nzima hawapigi mswaki na hawanuki hata chembe. Wengine hata mwezi yaanii hanuki
Kuna wenzangu na mie wanapiga mswaki asubuhi na jioni ila wanatema kama mavi.
Midomo hii ina changamoto sana.
Natamani nisingekuwa na mdomo nizungumze kwa kutumia komwe.
Nachoka kupiga mswaki 🥴