To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kiiphone changu ni 6 kinanipa masharti mengi kuipata Google browser...Mara connect with WIFI....mnyakyusa na mawifi wapi na wapi kuconnect🙄Tumia browser
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiiphone changu ni 6 kinanipa masharti mengi kuipata Google browser...Mara connect with WIFI....mnyakyusa na mawifi wapi na wapi kuconnect🙄Tumia browser
Pole sana mkuu angalau ungetumia 11 kuendelea hazina hayo mamboKiiphone changu ni 6 kinanipa masharti mengi kuipata Google browser...Mara connect with WIFI....mnyakyusa na mawifi wapi na wapi kuconnect🙄
Taratibu ndiyo mwendo mkuu...kufikia hii niliyonayo nimehaso balaa😃Pole sana mkuu angalau ungetumia 11 kuendelea hazina hayo mambo
Pole sana utafika tu usikate tamaaTaratibu ndiyo mwendo mkuu...kufikia hii niliyonayo nimehaso balaa😃
Yeah Mungu mwema😉Pole sana utafika tu usikate tamaa
Ukianza kufuatilia mambo ya falagha za mapenzi utaonekana mjuaji.Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha.
Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi anataka kung'oka nao. La sivyo tuishie kunyonyana lips tu inatosha.
🙌
Sa itakuwaje?🙆
Wewe unao wangapi?Wawili hawatoshi tuongeze mwingine mrembo 🥰
Narudi sasa hivi,ok?Wawili hawatoshi tuongeze mwingine mrembo 🥰
SawaNarudi sasa hivi,ok?
hapa hujasingiziwa,muone na profile yake😆😆Nimekua accused kwenye mambo ya hovyo 😂😂😂😁🖐️ interesting
Kabisa mkuuSababu huwa ni anuai.
Mojawapo ya sababu huwa ni ujinga kuhusu elimu ya usafi wa kinywa.
Nilishawahi kutoa somo miaka kadhaa iliyopita.
Elimu ya Kinywa: Usafi wa meno na kinywa kwa ujumla, sababu, kinga na tiba za harufu mbaya
Napenda sana meno meupe na yaliyopangika vizuri. Na kwa bahati nzuri nimejaaliwa kuwa na vyote viwili pasipo na msaada wa dental braces wala retainers. Na meno ya njano njano huwa yananichefua kabisa. Usafi wa kinywa kwangu ni jambo muhimu kupita maelezo. Nikisafiri na kuwa mbali na nyumbani...www.jamiiforums.com
Naona kuna haja tena ya kutoa refresher course hapa.
Ongea pole pole mods wasisikie😂Nilikuwa najibu maswali☺️
Sawa.asante....tena huwa wanaban kweli I’d zangu....tena life banOngea pole pole mods wasisikie😂
sameja sameja sameja unaangusha brand, masameja ni wautawala inabidi unatoa pole huku unachukua order yake 😀 😀Pole sana utafika tu usikate tamaa
Ilibidi nimuulize "tuonane wapi nikupe 15 pro max"sameja sameja sameja unaangusha brand, masameja ni wautawala inabidi unatoa pole huku unachukua order yake 😀 😀
Hapana....hii inanitosha.,,,huyu ukitaka kitu chake anasema lazima 3samsameja sameja sameja unaangusha brand, masameja ni wautawala inabidi unatoa pole huku unachukua order yake 😀 😀
😂😂😂 no nitapata tu mkuuIlibidi nimuulize "tuonane wapi nikupe 15 pro max"