Kabla ya kupunguza gharama za kuingiza umeme kuwa 27000, wangefanya huduma hiyo kuwa ya haraka kwa bei ya zamani


Ni wapi huko huwa mnakula mzigo mbele ya watu? Mifano mingine ni ya kipumbavu kutajwa humu!
 
Kwa maisha ya kiafrika
Jitahidi kwenye simu yako kwenye sile namba muhimu muhimu zisikosenane za TRA, Tanesco, uhamiaji, NEMC, halmashauri ya wilaya, mkuu wa shule etc etc kutegemeana feeding yako[emoji28][emoji28]

Mkuu wa shule ipi?
 
Tshs 2,700 - 10,000 kwa mita moja ya LUKU!
Sidhani kama uko sahihi mkuu.
Mita ya LUKU (Single Phase) si chini ya Tshs 80,000/-
Nadhani Shirika hili limeanza kutoa huduma sasa.
Kama tunaweza kulipia Service Line kwa Tshs 27,000/- tu wakati mita inanunuliwa kwa Tshs 80,000, hii ni hatua kubwa sana ya huduma.
Hapo tunaongelea mita tu bila kuhusisha vifaa vingine kama: waya, nguzo, vikombe, bracket, labour, transport & contingencies!
 
Unadanganya bila aibu! Yaani mita kiwandani ichukuliwe elf 80? Ebu kama hujui jaribu kuuliza hata wale waagizaji wakubwa kina Manji waliuziwa mita tsh ngapi huko China!

Bei za luku order huko kiwandani ni chini ya elf 10 hadi elf 2700! tu,
 
Tangazo la kushusha gharama za kuunganisha umeme lilitoka lini mkuu?.
 
Huyu waziri ni wale wale autopilot hana jipya ni wa kupumzisha hana lolote!! Atawafokea Tanesco wakati yeye mwenyewe ameongea vitu bila planning!! Shame!!
 
Umeongea point ila mm kelo yangu ipo upande wa pili ya watu wa dawasco nakushauli fungua uzi khsu watu wa dawasco hawa ni maboya waliopiliza sio kwa mita wala bill za maji aise huku tanesco kwa ss washatengenezewa vishoka ulaji hakuna jinsi ilo lipo wazi lipa elfu27 watengeneze waze za mboga maisha yasonge
 
Juzi nilipita ofisi moja ya tanesco kufuatilia inshu zangu ,foleni ya waliokuja kuchukua form ya kuunganishiwa umeme ni hapa na mbinguni.
 
Hiyo 27000 mliyokuaga mnaililia imetengeneza mwanya mwingine wa rushwa

Haya mambo nchi kuondoka ngumu sana
Labda kizazi kilichopo sasa chote kihangamieee

Ova
 
Ukikaa na wafanyakazi wa Tanesco utaelewa kwanini mambo hayaendi, wao kwa wao hawaheshimiani, hawapendani, hawaelewani, inasadikika wanapigana sana juju, hata akili zao waliowengi si nzuri, wanatukanana matusi ya nguoni hadharani, labda ningeshauri, wasilipwe mishahara kimazoea, walipwe kwa idadi ya connection za umeme walizofanya
 
Tangazo la kushusha gharama za kuunganisha umeme lilitoka lini mkuu?.
Mwezi uliopita
Hilo nalo neno
 
Upo sahahi lakini mdiyo hivyo...
Ilitakiwa tanesco wajiendeshe kwa fedha za mauzo yao wenyewe! Kuliko kusubiri huruma ya hazina kuwagawia mgao wa mahitaji yao!.

Ambapo pesa za wateja wao wanazolipia huduma badala ya kuleta vifaa huwa zinapelekwa kutekeleza majukumu mengine kama barabara, madawa n.k
Badala ya kutumika kuletea vifaa kwa wakati ( kiufupi serikali iache kujikopesha pesa ndipo watafanikiwa kutoa huduma haraka)
 
Ukitoa hoja bila kuweka mifano ya kizinzi hutaeleweka?
 
Lakini wanapata jeuri kwakuwa wana uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi, wangeambiwa wanalipwa kwa kwa idadi ya wateja wanaowafungia umeme wangetia adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…