Kabla ya kupunguza gharama za kuingiza umeme kuwa 27000, wangefanya huduma hiyo kuwa ya haraka kwa bei ya zamani

Kabla ya kupunguza gharama za kuingiza umeme kuwa 27000, wangefanya huduma hiyo kuwa ya haraka kwa bei ya zamani

Wanasiasa hufanya maamuz kutafuta sifa.

Ila Tanesco huduma nyingine wangekuwa wana outsource tu sio lazima wakomae na kila kitu. Maana hii strategy yao imeprove failure, nchi za dunia ya 3 tunaishi kama manyani tu.
Leo nimepitia huu Uzi ndiyo nimekuelewa vizuri mdau
 
Kuna tatizo kubwa sana hapa. hii kitu italeta rushwa sana. Mimi nashauri bei iwe ileile ya awali ila huduma iwe ya haraka. alafu kama ni kwa mpango wa kuhamasisha basi ili punguzo la elfu 27 liwe na timeframe
Leo ndipo nimekuelewa vizuri
 
Back
Top Bottom