Ila Tanesco huduma nyingine wangekuwa wana outsource tu sio lazima wakomae na kila kitu. Maana hii strategy yao imeprove failure, nchi za dunia ya 3 tunaishi kama manyani tu.
Kuna tatizo kubwa sana hapa. hii kitu italeta rushwa sana. Mimi nashauri bei iwe ileile ya awali ila huduma iwe ya haraka. alafu kama ni kwa mpango wa kuhamasisha basi ili punguzo la elfu 27 liwe na timeframe