Kabla ya ndoa ujifunze lipi



...ngoja siku yawakute ndipo mtapojua tofauti ya kusujudia na kutii ipo wapi!..lol!
 
 

...dahhh, bht umenishikia bango jamani mwee!...mwenzio nilikuwa bado sijazaliwa, ila wanazuoni wanasema St. Paul,
wengine wanadai waliomfuatia...(mikono ya waandishi)
 
Kabla ya ndoa?
Jifunze yafuatayo;-
Ulizoea kulala peke yako ukishtuka usiku kuna mwenzako pembeni usipige mayowe ati umelala na jini.
Ulizoea kujifulia sasa amekuja wa kukufulia na kukunyoshea.
Ulizeoea kula kwa mama ntilie na zege sasa utakuwa unapikiwa.
Kikubwa ukubali kuwa ukishindwa kitandani kuna vidume vitakusaidia.
Uelewe ukiombwa ya saloon uwe mwepesi kuzama mfukoni hata akienda kulitachi akisema laki na nusu.
Ulizoea kununua toilet paper sasa elewa bajeti imeongezeka ya free style au always n.k
 
...dahhh, bht umenishikia bango jamani mwee!...mwenzio nilikuwa bado sijazaliwa, ila wanazuoni wanasema St. Paul,wengine wanadai waliomfuatia...(mikono ya waandishi)
Hahaa haya Mbu, pole kwa kukuganda ila tu huo waraka nilitaka nijue kama ni wa Paulo kwa Waefeso maana nilidhania tu. Shukrani sana. Nimeupenda na naona unahusika sana!
 
By the way Mbu kwani kutukuza ni sawa na kusifia??

mnh, kwa mujibu wa KAMUSI YA KISWAHILI SANIFU, toleo la pili yote mawili kwa kiasi fulani yanaingiliana;

Tukuz.a kt [ele] heshimu, sharifu, stahi, sifu, shaua, taadhimu. ~ana, ~ia,~wa.

Sif.u kt [ele] eleza hali ya uzuri wa jambo, kitu au mtu; shaua, tukuza;
 


Alafu jifunze kutotumia silaha kwa mke wako unaweza mkosa akaenda kwa wanao jua kubembeleza
 
Khaaa wenzio leo tumeegemea vifungu vya kwenye kitabu Kitakatifu....!

Kha mi Mungu anisamehe toka nisali X.mass ya mwaka 2009 mpaka leo hata mistarri nimeshasau
 
Hahahaha!! Mbu kwamba "I'm down on your knees"

...umeona ee?...we acha watu wajifanye 'vidume' hapa....
hakuna formula nani asujudiwe kwenye mapenzi.

Pheewww!, angalau wewe sasa umenielewa namaanisha nini...
 
...umeona ee?...we acha watu wajifanye 'vidume' hapa....
hakuna formula nani asujudiwe kwenye mapenzi.

Pheewww!, angalau wewe sasa umenielewa namaanisha nini...

Mbu inategemea mkuu mahala na wakati

Ukibainika lazima usujudu ili upate kitu roho inapenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…