Kabla ya ndoa ujifunze lipi

...umeona ee?...we acha watu wajifanye 'vidume' hapa....hakuna formula nani asujudiwe kwenye mapenzi.Pheewww!, angalau wewe sasa umenielewa namaanisha nini...
Kusujudiana kunaondoa ladha ya mapenzi, haijalishi nanai anasujudiwa! Ibaki kuwa heshima na utii tu, hapo raha bin starehe!Afu nani aliwaambiwa kuwa 'down on your knees' ndo umesujudu?
 
Usijali..... maswali yatakuja tu....in time!
Like after few minutes from now?? Lol!!


...ungejibu nini? YES?....hhhaa ha...na imagine ungeulizwa "will you marry me?!"hapa hadharani!
Mbu umeniharibia Confidence yangu niliyokuwa nayo maana baada "will you marry me??" inafuata Je utanisujudu? Lol!!!
 
...naam, naaam....na hivi tangu jana tupo na hii spiritual concious, tungemaliza mistari yote ya
kuubariki muungano huu. The Finest, stop 'blushing' bro ...hhe hhe he!...
Hahahaha!!! Mbu wewe mtu mbaya sana unaweza kumfanya mtu aka-confess hadharani
 
Reactions: Mbu
Kusujudiana kunaondoa ladha ya mapenzi, haijalishi nanai anasujudiwa! Ibaki kuwa heshima na utii tu, hapo raha bin starehe!Afu nani aliwaambiwa kuwa 'down on your knees' ndo umesujudu?

BHT nani alikuambia bana kusujudu inaondoa ladha
Ladha iko pale pale na tena ukisujudiwa unaona raha sana maana heshima inakuwepo
Ila wengine wanasujudu huku wakiwa na malengo yao hapo ndio wanaharibu
 
...umeona ee?...we acha watu wajifanye 'vidume' hapa....
hakuna formula nani asujudiwe kwenye mapenzi.

Pheewww!, angalau wewe sasa umenielewa namaanisha nini...
Siku yamekukuta inabidi kusujudu sasa hapa naanza kupata picha kuwa iko applicable hata kwa wanaume lol
 
Reactions: Mbu
Like after few minutes from now?? Lol!!


Mbu umeniharibia Confidence yangu niliyokuwa nayo maana baada "will you marry me??" inafuata Je utanisujudu? Lol!!!

Sasa TF mbona pale mwanaume ndo anasujudu sasa
Kumbe akitoka hapo kibao kinageuka kwa mwanamke
 
Najua nipo nje ya topic,lakn TF hebu copyright basi hayo unayotuambia.Then nitarudi badae kuchagia mada....
 
Kusujudiana kunaondoa ladha ya mapenzi, haijalishi nanai anasujudiwa! Ibaki kuwa heshima na utii tu, hapo raha bin starehe!Afu nani aliwaambiwa kuwa 'down on your knees' ndo umesujudu?

...lol...rejea picha kwanini mwenza 'husujudiwa' mtuhumiwa anapokuwa anasubiria ~Life without parole/or death~ sentencing!'
 
Nlishakwambieni mkawa mnabisha......... Si mmeona wenyewe Rostam alivyojivua gamba?
 
Najua nipo nje ya topic,lakn TF hebu copyright basi hayo unayotuambia.Then nitarudi badae kuchagia mada....
Natumaini mlimani wanakondoo wanapata neno la Mungu vizuri aisee nimeisha copyright tayari
 
...lol...rejea picha kwanini mwenza 'husujudiwa' mtuhumiwa anapokuwa anasubiria ~Life without parole/or death~ sentencing!'
Lol...haya bana!Afu hapo naona hata hayuko down on his knees bali on his tummy! (kusujudu kunahusisha paji la uso hata hivyo)
 
Lol...haya bana!Afu hapo naona hata hayuko down on his knees bali on his tummy! (kusujudu kunahusisha paji la uso hata hivyo)
Lol!!!! Kwa kuchunguza wewe hahahaha
 
Hahahaha!!! Mbu wewe mtu mbaya sana unaweza kumfanya mtu aka-confess hadharani

...confess tu bana, chelewa chelewa utajakuta mwana si wako!


Hiyo ni kiboko yaani unasujudu wakati unataka kitu fulani ni kama pale " Will u marry me" ukitoka hapo ukishaambiwa "Yes" kibao kinageuka

LOL,....Mr Rocky, kama wanaosujudu wakimlilia Mungu shida zao, na wanadamu ni vivyo hivyo!...wakishapata lao, ni wachache wanaorudia kumshukuru Muumba!


Lol...haya bana!Afu hapo naona hata hayuko down on his knees bali on his tummy! (kusujudu kunahusisha paji la uso hata hivyo)

...lol, ...bht unantafuta muhali sasa...kwani dhahma likishakukuta utajali unasujudu kwa magoti au kulalia tumbo?
wewe hali yeyote utayoona inaweza kurudisha huruma twende kazi...na kilio juu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…