Kabla ya ndoa ujifunze lipi

Kabla ya ndoa ujifunze lipi


AshaDii,...mmetoka mbali na huko mnakoelekea kama siko?!
Baadhi ya maandiko yanasema "mwanamke atapoanza kuchukua utawala wa dunia," ndio dalili za kiama!
Yaani tafsiri ya nyie dada/wake/mama zetu kwenye hivi vitabu vya
dini mwaonekana waharibifu tuuu,...mnh....

Ahh, huyu The Finest sijui ndio nini kuleta maudhui haya
najihisi namkufuru Muumba tu...



Dah! Dah! Dah! (in black and NO COMMENT!!!) Khaaa!!!


Please sema umetumia vigezo gani kabla sijajibu.... (in blue....)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hhha hha ha...umeona ee? nimesema hii sredi itani cost wallah...hivi The Finest lengo, nia na madhumuni ya kuanzisha sredi hii ilikuwa kunijua upande wa pili wa shilingi ee/ haya bana, umefanikiwa......pupwe lina msisimo kwa kondoo mwenye manyoya haba. Dada/mamsapu wetu huchagua yale maandiko yenye faida na wao tu, mfano...Mume atakuwa kichwa cha nyumba, mwenye jukumu la ulezi, kutunza familia blah blah...Zile kurasa zenye vifungu ulivyoviainisha leo husomwa upside down,
paris+hilton+read+book+upside+down.jpg
he he he...!
Haahhaha....madongo mengine bwana.Nwy ukweli ni kwamba sio wanawake tu ila hata wanaume hua wanachagua vifungu vinavyowa‘FAVOR‘ wao ....luckly for them ndo vimepamba kitabu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jamani mie nafikiri kinachomata hapo ni upendo.........kama nakosea tafadhalini nirudisheni kwenye msitari!
Lakini niaminivyo mie, hakuna utumwa mzuri kama utumwa wa mapenzi na hasa ukimpata bwana ajuaye kumtreat mtumwa wake!!
Penye pendo mioyo huimarika, penye pendo

lol...Mwj1 penye penzi hakuna Ubwana na Utwana bana...unless wazungumzia 'fetish'
....usininyong'onyeze zaidi ya hivi The Finest alivyonichongea leo.
 
hhha hha ha...umeona ee? nimesema hii sredi itani cost wallah...hivi The Finest lengo, nia na madhumuni ya kuanzisha sredi hii ilikuwa kunijua upande wa pili wa shilingi ee/ haya bana, umefanikiwa...

...pupwe lina msisimo kwa kondoo mwenye manyoya haba. Dada/mamsapu wetu huchagua yale maandiko yenye faida na wao tu, mfano...Mume atakuwa kichwa cha nyumba, mwenye jukumu la ulezi, kutunza familia blah blah...

Zile kurasa zenye vifungu ulivyoviainisha leo husomwa upside down,
paris+hilton+read+book+upside+down.jpg
he he he...!

Mbu ukisikia maandamano halafu mlango wa nyumba yako unagongwa just dial 911 usalama wako utakuwa hatarini kwasababu ya comment hii lol!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...natamani kuuliza kwanini maandiko yanambana zaidi binti 'aachane na wa kwao,' 'amsujudie mume,' na yada yada nyinginezo, bila kumkufuru Mwenyezi Mungu.


lol,...Avatar hii ni picha yangu jamani, hamuamini ee?...haya basi nitamrudisha mdudu...




AshaDii,...mmetoka mbali na huko mnakoelekea kama siko?!
Baadhi ya maandiko yanasema "mwanamke atapoanza kuchukua utawala wa dunia," ndio dalili za kiama!
Yaani tafsiri ya nyie dada/wake/mama zetu kwenye hivi vitabu vya dini mwaonekana waharibifu tuuu,...mnh....

Ahh, huyu The Finest sijui ndio nini kuleta maudhui haya
najihisi namkufuru Muumba tu...

..................... So hiyo picha ndo Mbu mwenyewe eh?...owkey!! tutaijadili baadae!

Mbu unafikiri nakubishia juu ya uharibifu ulioanikwa kwenye vitabu vya dini? Wala..........maana nikibisha utanitajia Eva, Wale Mabinti wawili wa Lutu walioamua kumdu Baba yao Rebeka Mamake Esau na Yakobo, hujamtaja yule mwanamke alomrubuni Yusuph kule misri, stakaa sawa utanitwanga na Delila wa Samson, na wengine chungu mbovu walioanikwa kwenye Bibilia.........lakini mbona hata wanaume vichaa wapo na bado wao ndo watawala?

Nway hii topic kidogo imenikalia kumoso (kushoto)
 

lol...Mwj1 penye penzi hakuna Ubwana na Utwana bana...unless wazungumzia 'fetish'
....usininyong'onyeze zaidi ya hivi The Finest alivyonichongea leo.
Mkuu hahahaha nimekuwa kama mtoza ushuru
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Eeee mtume weee!, subiri kwanza usinijibu...Lohhhhh,...nimekusoma hapa dadangu mpenzi,...angalia...loh!


MJ1 kipindi hicho thamani ya mwanmke ilikua kwa ajili ya uwepo wa mwanaume
yaani yeye hata naona alikua haruhusiwi hata kushika maandiko alikua anasomewa tu...
yaani wanawake kweli tumetoka mbali aiseee...

Dah! Dah! Dah! (in black and NO COMMENT!!!) Khaaa!!!

Please sema umetumia vigezo gani kabla sijajibu.... (in blue....)

...astaghafirullah,...!
 

lol...Mwj1 penye penzi hakuna Ubwana na Utwana bana...unless wazungumzia 'fetish'
....usininyong'onyeze zaidi ya hivi The Finest alivyonichongea leo.
ni tofauti na Mtemi na Mtwana.......kwenye mapenzi kuna ubwana na ubibi!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
MJ sasa huo upendo kwenye dunia ya leo unapatikana kwa asilimia ngaipi?!Na ni nani anaepaswa kumpenda mwenzake kwa maoni yako?! Maana kitabu kinasema mume apende na mke aheshimu + kusujudia.Kwahiyo mume ampende mke ili apate kuheshimiwa na kusujudiwa alafu mke nae asujudu na kuheshimu ili apendwe.Nashangaa kwa nini aliyeandika hakuandika mpendane na mheshimiane.
Lizzy mpenzi mwanaume anapasa kumpenda mwanamke na mwanamke kumtii mwanaume!! Katika dunia hii na maisha yangu yalobakia duniani humu sihitaji zaid ya Baba Chanja kunipenda na nitamhakikishia namtii daimam! Ndio msingi wa maisha yangu yaliyobaki. KWa nini nasema hivyo?? kwa upendo wangu nikimtii nitampenda outomatically, siwezi tii kitu nisichopenda.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
..................... So hiyo picha ndo Mbu mwenyewe eh?...owkey!! tutaijadili baadae!

Mbu unafikiri nakubishia juu ya uharibifu ulioanikwa kwenye vitabu vya dini? Wala..........maana nikibisha utanitajia Eva, Wale Mabinti wawili wa Lutu walioamua kumdu Baba yao Rebeka Mamake Esau na Yakobo, hujamtaja yule mwanamke alomrubuni Yusuph kule misri, stakaa sawa utanitwanga na Delila wa Samson, na wengine chungu mbovu walioanikwa kwenye Bibilia.........lakini mbona hata wanaume vichaa wapo na bado wao ndo watawala?

Nway hii topic kidogo imenikalia kumoso (kushoto)

Mwj1 umeona ee?
acha nami nijitoe rasmi mdahalo huu.
The Finest naenda kukuchongea kwa Mod unaletesha mada za udini!
eti 'mwanaume usujudiwe,' ...lol!
 

Eeee mtume weee!, subiri kwanza usinijibu...Lohhhhh,...nimekusoma hapa dadangu mpenzi,...angalia...loh!


...astaghafirullah,...!


Imekua astaghafirullah tena?? lol... ukisikia kujitoa off the hook ndio hio...
ofcoz wanawake kweli tumetoka mbalini statement yangu...

Kwahio ina maana ulipenda tuendelee vile vile mazumbukuku?? come on Mbu you are beta than that!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Eeee mtume weee!, subiri kwanza usinijibu...Lohhhhh,...nimekusoma hapa dadangu mpenzi,...angalia...loh!






...astaghafirullah,...!
Sasa Mbu naona dada zangu wamekukalia kooni lol!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mwanzo.2:24 inasema, "Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio lako, uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako na mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye bwana wako naye umsujudie".

Watu wengi wanataka waingie kwenye ndoa waoe au waolewe lakini uhusiano wao na wazazi wao usibadilike, haiwezekani. Biblia imeweka wazi unataka kuoa, mwanaume lazima aachane kwanza na baba yake na mama yake, maana yake kuna mabadiliko. Kuna mabadiliko mahali pa kuishi, kuna mabadiliko juu ya mtazamo wako wa kwanza wa maisha yako. Mke wako hawezi kuwa mama yako na mume wako hawezi kuwa baba yako.

Na kabla haujafikia maamuzi ya namna hiyo, ukiingia kwenye ndoa, ndoa yako itakuwa ngumu maana inawezekana unaishi vizuri na wazazi wako, kiasi kwamba maamuzi yote unayoyafanya lazima ushirikiane nao, hiyo hatua nzuri lakini ukiishaingia kwenye ndoa mtu wa kwanza kushirikiana nae ni mume wako kama umeolewa na mke wako
kama umeoa, na wazazi wengine wasingetaka kuona kwamba unakuwa mbali nao kwa jinsi hii, watataka waendeleze maamuzi yao na utawala wao waliokuwa nao juu yako mpaka kwenye ndoa yako haiwezekani.

Unapoamua kuolewa wa kwanza sio baba yako au mama yako, wa kwanza ni mume wako, ikiwa haujafikia uamuzi wa namna hii moyoni mwako basi basi bado haujafikia utayari wa kuolewa. Na ina madhara yake magumu, biblia inasema kabla haujawasahau watu wako na watu wa nyumba ya baba yako, mume wako hawezi kuutamani uzuri wako, ukitaka autamani uzuri wako lazima uwasahau kwanza watu wa nyumbani kwa wazazi wako.

Nawatakia kila la heri wale wanaotarajia kuolewa na kuoa wikiendi hii Mungu awabariki katika ndoa zenu.

TF.

TF huu upako naona umekushukia ghafla sana
Au na wewe unataka kuwa akina Kakobe
Ila umekaa njema sana na ni ushauri murua kwa wale wanaoingia kwenye ndoa
 

Mwj1 umeona ee?
acha nami nijitoe rasmi mdahalo huu.
The Finest naenda kukuchongea kwa Mod unaletesha mada za udini!
eti 'mwanaume usujudiwe,' ...lol!
Lol!!! Mbu unataka ku-revoke maandiko ya kwenye biblia unajua Mungu hapendi eheee lol!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
TF huu upako naona umekushukia ghafla sana
Au na wewe unataka kuwa akina Kakobe
Ila umekaa njema sana na ni ushauri murua kwa wale wanaoingia kwenye ndoa
Hahahaha!!! Lol wewe unaingia lini kwenye ndoa nikusindikize.
 
Imekua astaghafirullah tena?? lol... ukisikia kujitoa off the hook ndio hio...
ofcoz wanawake kweli tumetoka mbalini statement yangu...

Kwahio ina maana ulipenda tuendelee vile vile mazumbukuku?? come on Mbu you are beta than that!

Mnh, AD sijui ulinisoma tangia post yangu ya mwanzo?
hii hapa;


...natamani kuuliza kwanini maandiko yanambana zaidi binti 'aachane na wa kwao,' 'amsujudie mume,' na yada yada nyinginezo, bila kumkufuru Mwenyezi Mungu.

...kwenye maandiko kuna mengi yanayoweza zua maswali kuliko majibu,
mfano hilo la mke kumsujudia mume, kumtii mume...nk...
No wonder Lizzy nawewe pia mligusia huenda waliopokea hayo maamrisho
walikuwa wanaishi kwenye mfumo dume zaidi, kiasi cha kutafsiri hayo.

Pia, niligusia, maandiko yamo kwenye mfumo wa present continuous tense,...
maandiko mengine tunashurutishwa vizazi na vizazi mwiko kubadilisha hata neno moja.
No wonder kwa madhehebu yangu, Mwanamke Marufuku kuongoza ibada ya wanaume.

Kimtizamo wangu, women rights movements zilianza miaka ya 1920...
hii ya Beijing 'empowerments' ni juzi juzi tu,..ilhali vitabu vya dini navyo vyatuambia 'ati'
women empowerments ndio dalili za kiama. Sijui umenielewa kidogo?
 
Lol!!! Mbu unataka ku-revoke maandiko ya kwenye biblia unajua Mungu hapendi eheee lol!!!

...aarrgghh, wewe ushaniponza bana mimi nimenuniwa hapa. Acha nimbembeleze wa ubani...arudi kwenye mood.
Wewe endelea na hizo ibada zako za 'kusujudiwa,'....lol!
 
Hahahaha!!! Lol wewe unaingia lini kwenye ndoa nikusindikize.

Mkuu TF niko kwenye ndoa mwaka wa Pili sasa huu na anivesary yangu ni tarehe 1 ya mwezi ujao mkuu ya kutimiza miaka miwili rasmi kwenye ndoa
Ni maisha mazuri sana ukiwa umempata the right candidate for that post
 

Mnh, AD sijui ulinisoma tangia post yangu ya mwanzo?
hii hapa;




...kwenye maandiko kuna mengi yanayoweza zua maswali kuliko majibu,
mfano hilo la mke kumsujudia mume, kumtii mume...nk...
No wonder Lizzy nawewe pia mligusia huenda waliopokea hayo maamrisho
walikuwa wanaishi kwenye mfumo dume zaidi, kiasi cha kutafsiri hayo.

Pia, niligusia, maandiko yamo kwenye mfumo wa present continuous tense,...
maandiko mengine tunashurutishwa vizazi na vizazi mwiko kubadilisha hata neno moja.
No wonder kwa madhehebu yangu, Mwanamke Marufuku kuongoza ibada ya wanaume.

Kimtizamo wangu, women rights movements zilianza miaka ya 1920...
hii ya Beijing 'empowerments' ni juzi juzi tu,..ilhali vitabu vya dini navyo vyatuambia 'ati'
women empowerments ndio dalili za kiama. Sijui umenielewa kidogo?

Mbu duh naona unayakataa maandiko
Ungejua kwa nini uliwekwa huo mfumo dume wala usingeyalalamikia
Imagine ingeandikwa mwanaume amsujudie mwanamke na mwanaume amheshimu tuu mwanamke sijui ingekuwaje hapo na ni picha gani itafuata baada ya hapo
Kuna sehem pia imeandikwa kaeni na wanawake kwa akili maana walijua hawa viumbe wakoje
Yaache maandiko yaendeleze mfumo dume Mbu maana ukiruhusu mfumo jike utawale wanaume tutakuwa ndo walezi wa watoto nyumbani na wapishi wakati wake zetu watakuwa wanakaa sebuleni kutizama tv na kusoma novel
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom