Zipo kikada zaidiNafasi za Mkuu wa wilaya zilitakiwa kufutwa Tu
tena wakati wa utawala wa jiwe.Mtu pekee ninayeweza kumpongeza ni RC wa Kilimanjaro mama Anna Mgwira. Alikemea hadharani maovu ya Sabaya
Waliofumbia macho uozo mama arare nao mbereee
Nani wa kumkemea mwana mpendwa wa Mwendazake?Ninaombatu kuuliza kwamba kutokana na kuripotiwa kuvunjwa haki za binadamu na utawala bora,je hakuna mamlaka ambayo ilitakiwa kumuwajibisha Sabaya hata kabla ya Rais?
Maovu ya Sabaya yalijulikana kama rushwa,kupora,kuharibu mali na biashara za watu, uvamizi kwenye hoteli za watu nk
Kama yupo alipaswa angalau hata kumpatu Sabaya onyo ukiachilia mbali IGP naomba tumjue ili mjadala uendelee
Karibuni wajuzi wa haya mambo
Mamlaka ya uteuzi wake ni RAIS, wengine hawana mamlaka ya kumwajibisha... wanaweza wakatoa suggestion kwa Rais na si kuchukua hatua wao! simple!Ninaombatu kuuliza kwamba kutokana na kuripotiwa kuvunjwa haki za binadamu na utawala bora,je hakuna mamlaka ambayo ilitakiwa kumuwajibisha Sabaya hata kabla ya Rais?
Maovu ya Sabaya yalijulikana kama rushwa,kupora,kuharibu mali na biashara za watu, uvamizi kwenye hoteli za watu nk
Kama yupo alipaswa angalau hata kumpatu Sabaya onyo ukiachilia mbali IGP naomba tumjue ili mjadala uendelee
Karibuni wajuzi wa haya mambo
Kwani mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi ni nani?Mamlaka ya uteuzi wake ni RAIS, wengine hawana mamlaka ya kumwajibisha... wanaweza wakatoa suggestion kwa Rais na si kuchukua hatua wao! simple!
Ameachia taifa wasumbufu wakeMwendazake ameenda zake na mengi sana.
Rais, ndiyo maana hata Waziri wa Tamisemi hawezi kumwajibisha, anaweza akapendekeza kwa Rais amtoe/amwajibishe. Definitely Rais atamsikiliza Waziri maana waziri ndiye anafanya kazi na wakurugenzi. Nimeona post zako za Mkinga na Tanga, muone Ummy akiridhia malalamiko yako atachukua hatuaKwani mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi ni nani?
Hapo nisaidie mkuu
Mkurugenzi Mkinga na naibu katibu TSC nadhani nao nimiongoni mwa wana wa mfalme.Nani wa kumkemea mwana mpendwa wa Mwendazake?
Ilikuwa chooni, kilichokuwa kimebaki ni kuzama chooniMagufuli angetawala tena miaka 5 nchi ingetumbukia chooni.
Asante Mungu kujibu kilio chetu.
Wanasema Ummy hatawagusa eti wamemuweka mkononi,ni mwanamke,wameshamuwahi na nikada mwenzao hawamuogopi wanajuana. Hapo ndio unapoanza kuuona ugumuRais, ndiyo maana hata Waziri wa Tamisemi hawezi kumwajibisha, anaweza akapendekeza kwa Rais amtoe/amwajibishe. Definitely Rais atamsikiliza Waziri maana waziri ndiye anafanya kazi na wakurugenzi. Nimeona post zako za Mkinga na Tanga, muone Ummy akiridhia malalamiko yako atachukua hatua
we nenda kwa Ummy, achana na hizo stories zao. Omba appointment ukiwa na ushahidi concrete.... usiende na mambo ya kusikia...Wanasema Ummy hatawagusa eti wamemuweka mkononi,ni mwanamke,wameshamuwahi na nikada mwenzao hawamuogopi wanajuana. Hapo ndio unapoanza kuuona ugumu
Msiwalaumu walioshangilia kifo chake.Magufuli angetawala tena miaka 5 nchi ingetumbukia chooni.
Asante Mungu kujibu kilio chetu.
Mkurugenzi pia ni mteule wa Rais ila yeye siyo mwakilishi wa Rais wilayani kama alivyo Mkuu wa Wilaya.Mkurugenzi anaweza kuondolewa hata na Baraza la MadiwaniKwani mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi ni nani?
Hapo nisaidie mkuu