Kabla ya Rais, Je, hakuna mtu mwingine aliyepaswa kumchukulia Sabaya hatua?

Kabla ya Rais, Je, hakuna mtu mwingine aliyepaswa kumchukulia Sabaya hatua?

Mkingaleo

Member
Joined
May 13, 2021
Posts
68
Reaction score
74
Ninaombatu kuuliza kwamba kutokana na kuripotiwa kuvunjwa haki za binadamu na Utawala Bora.

Je, hakuna mamlaka ambayo ilitakiwa kumuwajibisha Sabaya hata kabla ya Rais?

Maovu ya Sabaya yalijulikana kama rushwa, kupora, kuharibu mali na biashara za watu, uvamizi kwenye hoteli za watu nk.

Kama yupo alipaswa angalau hata kumpa Sabaya onyo tu ukiachilia mbali IGP naomba tumjue ili mjadala uendelee

Karibuni wajuzi wa haya mambo
 
Tuvijana tunajiona ni untouchables na mifumo yetu hii eti mpka raisi aamue. Wakati kuna

Mkuu wa usalama wa taifa
Waziri wa mambo ya ndani
Kamanda wa polisi mkoa na wilaya
Waziri mkuu
Takukuru hao wote mpaka wapate maagizo dah.

Swala.linaanzia pale eti kiprotokali CDF anampigia saluti mkuu wa wilaya.

Sasa fikiria sabaya jokate ali hapi wanapigiwa saluti na mkuu wa majeshi si lazima wajivimbishe?
 
Ninaombatu kuuliza kwamba kutokana na kuripotiwa kuvunjwa haki za binadamu na utawala bora,je hakuna mamlaka ambayo ilitakiwa kumuwajibisha Sabaya hata kabla ya Rais?
Maovu ya Sabaya yalijulikana kama rushwa,kupora,kuharibu mali na biashara za watu, uvamizi kwenye hoteli za watu nk
Kama yupo alipaswa angalau hata kumpatu Sabaya onyo ukiachilia mbali IGP naomba tumjue ili mjadala uendelee
Karibuni wajuzi wa haya mambo
Nani wa kumkemea mwana mpendwa wa Mwendazake?
 
Ninaombatu kuuliza kwamba kutokana na kuripotiwa kuvunjwa haki za binadamu na utawala bora,je hakuna mamlaka ambayo ilitakiwa kumuwajibisha Sabaya hata kabla ya Rais?
Maovu ya Sabaya yalijulikana kama rushwa,kupora,kuharibu mali na biashara za watu, uvamizi kwenye hoteli za watu nk
Kama yupo alipaswa angalau hata kumpatu Sabaya onyo ukiachilia mbali IGP naomba tumjue ili mjadala uendelee
Karibuni wajuzi wa haya mambo
Mamlaka ya uteuzi wake ni RAIS, wengine hawana mamlaka ya kumwajibisha... wanaweza wakatoa suggestion kwa Rais na si kuchukua hatua wao! simple!
 
Mamlaka ya uteuzi wake ni RAIS, wengine hawana mamlaka ya kumwajibisha... wanaweza wakatoa suggestion kwa Rais na si kuchukua hatua wao! simple!
Kwani mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi ni nani?
Hapo nisaidie mkuu
 
Kwani mamlaka ya uteuzi kwa wakurugenzi ni nani?
Hapo nisaidie mkuu
Rais, ndiyo maana hata Waziri wa Tamisemi hawezi kumwajibisha, anaweza akapendekeza kwa Rais amtoe/amwajibishe. Definitely Rais atamsikiliza Waziri maana waziri ndiye anafanya kazi na wakurugenzi. Nimeona post zako za Mkinga na Tanga, muone Ummy akiridhia malalamiko yako atachukua hatua
 
Nani wa kumkemea mwana mpendwa wa Mwendazake?
Mkurugenzi Mkinga na naibu katibu TSC nadhani nao nimiongoni mwa wana wa mfalme.
TSC Mkinga ni Mnkande na Mnkande ni TSC Mkinga. Ofisi ameachiwa urithi na serikali. Anaiba na kuroga vibaya sana asiguswe. Sasa mchawi amevamiwa mtandaoni wizi na ubabe utakoma.
 
Rais, ndiyo maana hata Waziri wa Tamisemi hawezi kumwajibisha, anaweza akapendekeza kwa Rais amtoe/amwajibishe. Definitely Rais atamsikiliza Waziri maana waziri ndiye anafanya kazi na wakurugenzi. Nimeona post zako za Mkinga na Tanga, muone Ummy akiridhia malalamiko yako atachukua hatua
Wanasema Ummy hatawagusa eti wamemuweka mkononi,ni mwanamke,wameshamuwahi na nikada mwenzao hawamuogopi wanajuana. Hapo ndio unapoanza kuuona ugumu
 
Wanasema Ummy hatawagusa eti wamemuweka mkononi,ni mwanamke,wameshamuwahi na nikada mwenzao hawamuogopi wanajuana. Hapo ndio unapoanza kuuona ugumu
we nenda kwa Ummy, achana na hizo stories zao. Omba appointment ukiwa na ushahidi concrete.... usiende na mambo ya kusikia...
 
Mimi ninaomba kujulishwa hivi majuzi huyu Sabaya alienda mjengoni na wahishimiwa walimshangilia sana maana yake ilikuwa Nini? Au walikuwa wanapeleka ujumbe gani?
 
Back
Top Bottom