Kabla ya tume huru ya Uchaguzi, Tanzania twende kujifunza Demokrasia Nchi ya Mauritius

Kabla ya tume huru ya Uchaguzi, Tanzania twende kujifunza Demokrasia Nchi ya Mauritius

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Salaam,

Mauritius ndo nchi ya kidemokrasia na mfano wa kuigwa katika bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.

Hadi kufikia 2020, demokrasia ya Mauritania ilipewa pointi 8.14, ikiorodheshwa kama nchi pekee barani Afrika yenye demokrasia kamili. Kulingana mchakato wa uchaguzi, kazi za serikali, ushiriki wa kisiasa, na utamaduni pamoja na uhuru wa raia.

Mifumo mingi ya kisiasa Kusini mwa Jangwa la Sahara na Kaskazini mwa Afrika ni miongoni mwa nchi zenye kidemokrasia isiyolidhisha duniani.

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ina utawala wa kimabavu zaidi barani Afrika na ya pili duniani kote, baada ya Korea Kaskazini.

Nchi nyingine kama vile Cap Verde, Botswana, Afrika Kusini, Namibia, Ghana, na Lesotho zipo kwenye Serikali za mseto, zikiwa na alama kuanzia 6.3 hadi 7.65, inamanisha chaguzi zilizo na dosari zimeenea. rushwa na unyanyasaji wa wanahabari na vyama vya Upinzani.

Kulingana na Kielelezo cha Demokrasia, Tanzania ina alama 5.1 huku Korea Kaskazini ilikuwa nchi ya kidemokrasia kidogo zaidi ulimwenguni mnamo 2020. Nchi zinapewa alama kutoka 0 hadi 10 na alama karibu na 10 maana nchi ni ya kidemokrasia zaidi. Mnamo 2020, Korea Kaskazini ilikuwa 1.08, wakati Syria ilikuwa alama 1.43.

demokrasia.png

Chazo: Statista.com
 
Kujifunza pekee hakutoshi bila kuwa na nia ya dhati kubadi hali yetu hakuna litakalobadilika.

Mara nyingi viongozi wa taasisi mbalimbali huenda nje kujifunza mambo tofauti lakini kila wakirudi hakuna linalobadilika, huenda nje kupoteza pesa za nauli tu na posho.
 
Salaam,

Mauritius ndo nchi ya kidemokrasia na mfano wa kuigwa katika bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.

Hadi kufikia 2020, demokrasia ya Mauritania ilipewa pointi 8.14, ikiorodheshwa kama nchi pekee barani Afrika yenye demokrasia kamili. Kulingana mchakato wa uchaguzi, kazi za serikali, ushiriki wa kisiasa, na utamaduni pamoja na uhuru wa raia.

Tangu ipate uhuru 1968 nchi ya kisiwa imebadilisha serikali mara saba kupitia chaguzi za kidemokrasia.

Kimaendeleo ya kiuchumi inaainishwa kama baadhi ya nchi za Ulaya Kusini

Linganisha nchi hiyo na Zanzibar ambayo pia ni kisiwa. Zanzibar ilijikomboa miaks 4 kabla ya Msuritius na wakati ule zao lao kuu lilikuwa miwa na Zanzibar karafuu.

Leo hii Mauritius imeiacha Zanzibar kwa mbali kiuchumi na kidemokrasia ikibakia na wimbo wake wa Mapinduzi Daima!
 
Tangu ipate uhuru 1968 nchi ya kisiwa imebadilisha serikali mara saba kupitia chaguzi za kidemokrasia.
Kimaendeleo ya kiuchumi inaainishwa kama baadhi ya nchi za Ulaya Kusini

Linganisha nchi hiyo na Zanzibar ambayo pia ni kisiwa. Zanzibar ilijikomboa miaks 4 kabla ya Msuritius na wakati ule zao lao kuu lilikuwa miwa na Zanzibar karafuu.
Leo hii Mauritius imeiacha Zanzibar kwa mbali kiuchumi na kidemokrasia ikibakia na wimbo wake wa Mapinduzi Daima!
Zanzibar inadumazwa na Tanganyika
 
Kujifunza pekee hakutoshi bila kuwa na nia ya dhati kubadi hali yetu hakuna litakalobadilika.

Mara nyingi viongozi wa taasisi mbalimbali huenda nje kujifunza mambo tofauti lakini kila wakirudi hakuna linalobadilika, huenda nje kupoteza pesa za nauli tu na posho.
Hawaendi kwa nia ya kujifunza lengo ni posho pekee
 
Tangu ipate uhuru 1968 nchi ya kisiwa imebadilisha serikali mara saba kupitia chaguzi za kidemokrasia.
Kimaendeleo ya kiuchumi inaainishwa kama baadhi ya nchi za Ulaya Kusini

Linganisha nchi hiyo na Zanzibar ambayo pia ni kisiwa. Zanzibar ilijikomboa miaks 4 kabla ya Msuritius na wakati ule zao lao kuu lilikuwa miwa na Zanzibar karafuu.
Leo hii Mauritius imeiacha Zanzibar kwa mbali kiuchumi na kidemokrasia ikibakia na wimbo wake wa Mapinduzi Daima!
Tatizo la Zanzibar watu wake ni wavivu sn
 
Back
Top Bottom