Uchaguzi 2020 Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa baadae mwaka huu, Mungu atatufuta machozi wapinzani kwa kuangusha mbuyu

Uchaguzi 2020 Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa baadae mwaka huu, Mungu atatufuta machozi wapinzani kwa kuangusha mbuyu

Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."

Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.

Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena kabla ya uchaguzi mkuu.

Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.

Muda utasema.
CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujao
 
If the rate of change on the outside exceeds the rate of change on the inside, the end is near.
 
Lema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.

Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
Naunga mkono hoja
P
 
Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."

Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.

Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena kabla ya uchaguzi mkuu.

Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.

Muda utasema.
Duh...!.
Mkuu Salary Slip, This is karma theory and it depends ni Mungu yupi kati ya Mungu na mungu!.

God operates in strange ways, kama huyu aliyepo ndie chaguo la Mungu kwa watu wake, baada ya watu hao kuteseka, kwa muda mrefu kwa nchi yao kufanywa ni shamba la bibi!, wakamlilia Mungu, akasikia kilio chao, akawaletea Mkombozi kuja kuwakomboa...

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Hivyo kama unasubiri ile ndoto ya Lema kutimia, then utasubiri sana!, maana ndio kwanza nyota inazidi kung'ara ngari ngari, sio tuu kwa Tanzania, kutaifa, bali Africa na kimataifa!.

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika

P
 
Duh...!.
Mkuu Salary Slip, This is karma theory and it depends ni Mungu yupi kati ya Mungu na mungu!.

God operates in strange ways, kama huyu aliyepo ndie chaguo la Mungu kwa watu wake, baada ya watu hao kuteseka, kwa muda mrefu kwa nchi yao kufanywa ni shamba la bibi!, wakamlilia Mungu, akasikia kilio chao, akawaletea Mkombozi kuja kuwakomboa...

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Hivyo kama unasubiri ile ndoto ya Lema kutimia, then utasubiri sana!, maana ndio kwanza nyota inazidi kung'ara ngari ngari, sio tuu kwa Tanzania, kutaifa, bali Africa na kimataifa!.

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika

P
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Lema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.

Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
Wapi kamtaja jiwe?
 
Rais aliposema tufanye maombi kwa siku tatu ili Mwenyezi Mungu atunusuru na janga la corona mlimbeza hapa kuwa Mungu hayupo wala hawezi kusikiliza.
Leo unamuomba Mungu yupi hayo mambo ya kichawi? Amini nakwambia utatangulia wewe, Mwamba bado yupo sanaa
 
Rais aliposema tufanye maombi kwa siku tatu ili Mwenyezi Mungu atunusuru na janga la corona mlimbeza hapa kuwa Mungu hayupo wala hawezi kusikiliza.
Leo unamuomba Mungu yupi hayo mambo ya kichawi? Amini nakwambia utatangulia wewe, Mwamba bado yupo sanaa
 
Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."

Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.

Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena kabla ya uchaguzi mkuu.

Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.

Muda utasema.
Umekata tamaa! Mungu ni kwa wote. Kumbuka Waafrica waliuzwa utumwa kwa zaidi ya miaka 400! Je mungu alikuwa amewasahau? Au alikuwa anawapendelea wazungu na waarabu?
Mungu haingilii mambo ya binadamu. Tafuteni njia zenu za kutatua matatizo yenu msimuhusishe mungu.
Angalia ubaguzi wa watu weusi! Hivi mungu haoni hilo! Anasubiri nini? Utasubiri milele mbuyu kuanguka.
 
Rais aliposema tufanye maombi kwa siku tatu ili Mwenyezi Mungu atunusuru na janga la corona mlimbeza hapa kuwa Mungu hayupo wala hawezi kusikiliza.
Leo unamuomba Mungu yupi hayo mambo ya kichawi? Amini nakwambia utatangulia wewe, Mwamba bado yupo sanaa
Si kweli muuaji atakufa kifo kibaya kama Nkurunzinza
 
Lema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.

Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
Kwanini Lema aliwekwa rumande kwasababu hiyo ili hali yale yalikuwa maono ya kishetani tu? Ujinga ni kudhani duniani ni mahali petu pa milele. Dhuruma mbaya ndiyo maana kila wakati watu wanakuwa na maono ya vifo kwa wenye kudhurumu. Mbona hawajawa na maono hayo dhidi yangu?
 
CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujao
Kwa bahati mbaya sana hata hilo pigo likitokea bado upinzani hauwezi kutumia hilo 'gepu'.

Jipangeni kushika dola kimkakati. Huku kusubiri pigo ni sawa na hadithi ya fisi kusubiri mkono wa binadamu uanguke.
 
Back
Top Bottom