Kwa wenzetu walioendelea bado wanazidi kuboresha adhabu ya kifo kwa
Kukuwekea chumba kizuri chenye AC na manukato
Taa nzuri
Kitanda cha stainless steel
Godoro la gharama
Mikanda laini ya pure leather
Sindano ya usingizi
Sindano ya kuondoa maumivu
Sindano ya sumu
Mchomaji expert nknk
Hivi mshana anafanya kazi gani
Naogopa hicho kifo kibaya cha adhabu. Namuomba Mungu nife peaceful nikiwa nmezungukwa na wapendwa wangu
Mkuu hapa kwetu ni awamu ipi imenyonga wengi?
Daah afadhali hawa kunyongwa daahKwa wenzetu walioendelea bado wanazidi kuboresha adhabu ya kifo kwa
Kukuwekea chumba kizuri chenye AC na manukato
Taa nzuri
Kitanda cha stainless steel
Godoro la gharama
Mikanda laini ya pure leather
Sindano ya usingizi
Sindano ya kuondoa maumivu
Sindano ya sumu
Mchomaji expert nknk
Hao ni waliohukumiwa kwa makosa waliyoyatendaMshukuru mungu kwa kuwa ana malengo mengine na ww mazuri isitoshe logical mwishowe huwa mbaya sana kaz ya kuua wenzio sio jambo dogo mkuu
Mbona kazi ndogo tu hiyoUna roho ngu
Kuna vitu viwili katika hukumu ya kunyongwaKikishindikana kitanzi kama kuteleza ama kushindwa kunyonga kuna nyundo kama rungu, unapigwa utosini moja tu, kama bado basi sindano ya sumu (ndio maana huwepo madaktari wa kuthibitisha kifo ama wa kukumalizia)
Kuhukumiwa kunyongwa ni mchakato ambao unaweza kubatilishwa kama rufaa ikikatwa na kukubalika ama kwa msamaha wa rais.... Lakini hati ya kifo ikishasainiwa na ukapangiwa siku ya kunyongwa na ukaingizwa 'condemned room' hakuna rivasi ndugu yangu... Huko hutoki tenaKuna vitu viwili katika hukumu ya kunyongwa
.kunyongwa hadi kufa (ndio umejibu hapa)
.kuhukumiwa kunyongwa(sio lazima ufe,ukipona hawarudii)
Yawezekana uelewa wangu mdogoKuhukumiwa kunyongwa ni mchakato ambao unaweza kubatilishwa kama rufaa ikikatwa na kukubalika ama kwa msamaha wa rais.... Lakini hati ya kifo ikishasainiwa na ukapangiwa siku ya kunyongwa na ukaingizwa 'condemned room' hakuna rivasi ndugu yangu... Huko hutoki tena
Hii dunia ina watu wengi sana wenye roho mbaya kiasi ambacho kazi kama hii inagombaniwa na wengi mno. Nina uhakika hata wangesema watu wa kunyonga bila malipo wangepata.
Sawa ila nimeshangazwa na mialiko wako kwa mwana LumumbaYawezekana uelewa wangu mdogo
Ila najua kuna KUNYONGWA na Kunyongwa hadi kufa ambapo zote zinasaini ya kifo lakini zinautofauti katika utekelezaji
Namaanish ukihukumiwa kunyongwa hadi kufa ni lazima ufe hata kama ukipna mara ngapi Kwenye kitanzi,
Lakini unanyongwa na kitanzi kikaktika unahesabiwa umenyongwa na si lazima ufe kabisa kama ilivyo hati ya kunyongwa hadi kufa.
Sema ufanano unakuja kwa sababu ukinyongwa ni lazima ufe tu hzo za vitanzi kukata au umeme kukatika katikati ya kazi na ukabaki mzima ni nadra kutokea katika hukumu hizo mbili
stroke
ππππππππUmemkamata - mwenzako anatafuta umaarufu wa bei rahisi......... Ndio JF hiyo......Si useme tu mzee kuwa umecopy hyo makala au mpaka niweke link yake hapa? Sema suu niweke!