Kabrasha chumba cha kunyongea

Mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana mshana nimekuita nmar 16 broo w,angu!
 
Sijui huyo mzee yupo wapi but niliyemsikia mimi akihojiwa yupo Swaswa -Dodoma alichoongea Mshana Jr yupo sahihi
Anasema tena yeye ndio wa mwisho ktk kazi hiyo kwa hapa tz mpka tulipoacha sijui kupumzika
Anadai mwisho alikuwa peke yake maana sio kila gereza tz lilikuwa lina kitanzi
So yeye ndio alikuwa akisafirishwa
 
Anadai mwisho alikuwa peke yake maana sio kila gereza tz lilikuwa lina kitanzi
So yeye ndio alikuwa akisafirishwa[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mfanyakazi chumba cha mahututi
Mhudumu chumba cha maiti
Msaidia kufisha wanaogoma kufa
Kama bado hujastaafu, endelea na hizo mbili za mwanzoni lakini ya mwisho achana nayo hata kama malipo yatapungua. Ni ushauri tu lakini.
 
Kuna binadamu wakatili sana
 
Ya sindano ya sumu ina mchakato mrefu sana...hadi mtu afe anapitia mateso saanaa......
Ya sindano ya sumu inachukua muda mfupi sana.Wanachanganya kemikali mbili sodium pancuroamina na potassioum chloride.
Potassium chloride kazi yake ni kwenda kuupiga moyo shoti kwa muda mfupi sana.Sodium pancuroamine kazi yake ni kusimamisha maumivu
Kunyongwa

Sindano ya sumu

Kupigwa shoti ya umeme(electrocution)...

Kuzamishwa majini(drowning)
....kipi ni cha maumivu zaidi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…