Kabrasha chumba cha kunyongea

Kabrasha chumba cha kunyongea

Kwahiyo Bwana Mnyongaji akichemka kujitetea kuhusu vifungu,naye huishia kitanzini?
Na je wakati akijitetea huwa ktk hali ya pombe au?mana umeandika Jana yake hukesha chumbani akijidunga vyombo
Hao ni ma expert wa vileo na akichemka kwa siku hiyo atarudishwa mahabusu apangiwe tarehe
 
Kikishindikana kitanzi kama kuteleza ama kushindwa kunyonga kuna nyundo kama rungu, unapigwa utosini moja tu, kama bado basi sindano ya sumu (ndio maana huwepo madaktari wa kuthibitisha kifo ama wa kukumalizia)
Daah na Nyundo tena huyo mnyongwaji atakuwa bandidu.
 
Kunyongwa

Sindano ya sumu

Kupigwa shoti ya umeme(electrocution)...

Kuzamishwa majini(drowning)
....kipi ni cha maumivu zaidi!?
Ahuweni sindano na kitanzi. Hiyo ya majini siyo kabisa.
 
Back
Top Bottom