Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kifupi ni kwamba Chief Hangaya kajiongezea ma secretaries wawili PS. Na kazi kuu ya hawa miamba si nyingine zaidi ya kusinich na kumtengenezea Mama njia come 2025..Hii tunarudia kumwambia raisi Samia na washauri wake (ambao katika hili sioni kama walimshauri) kuwa kama ulishaamua kuwatema hawa watu basi endelea na msimamo wako...
You nailed ït bro...Ana struggle kuongoza wakati huo anahofu ya kupoteza. Anajaribu kupunguza nguvu ya kila anaemuona ni tishio kwake. Ukiangalia kwa jicho la tatu hata kesi ya mbowe ni mkakati wa uoga wake. Mikopo ni uoga, tengua tengua ya kina Lukuvi yote ni muendelezo wa uoga. Speaker Ndugai ni uoga... Kuwaingiza JK company nk. Hatuitaji rais wa aina hii kwa sasa hana muda wa kuangalia maslahi ya nchi zaidi ya kulinda kiti.
Hata hivyo sijaona wakiapa/ kuthibitisha kutumikia cheo chochote. Na bado sifahamu ni majukumu gani rasmi waliyopewa! Siasa za nchi hii ni kama series za filamu za kimarekani au kikorea.
Upande mmoja chief hangaya anaongoza nchi asiyo ijua vyema ... amekuwa bara kitambo lakini kwa majukumu mahususi sio general hajui utamaduni wa kila eneo.... hata aina ya watu anaowaongoza hawajui...
Wanasubir wzr mkuu ajiuzulu lkn naona kama kakomaaa ili kama kutolewa bas atolewe tu si yy kujiuxuluHata hivyo sijaona wakiapa/ kuthibitisha kutumikia cheo chochote. Na bado sifahamu ni majukumu gani rasmi waliyopewa! Siasa za nchi hii ni kama series za filamu za kimarekani au kikorea.
We mwenyewe kama ni Me na una ndoa lakini hua una michepuko na unatumia pesa Kwa faida zakoHii tunarudia kumwambia raisi Samia na washauri wake (ambao katika hili sioni kama walimshauri) kuwa kama ulishaamua kuwatema hawa watu basi endelea na msimamo wako...
Una uhakika mimi ni raia wa kawaida? Unaweza kuthibitisha kuwa una ufahamu wowote kunizidi? Mtu anayeamini serikali ni jitu flani lenye siri ni mjinga tu na kimsingi ndio hajui hata serikali ni nini.We mwenyewe kama ni Me na una ndoa lakini hua una michepuko na unatumia pesa Kwa faida zako
Sometimes wewe kama ni Raia wa kawaida elewa kwamba serikali ni zaidi ya uijuavyo, siyo kila kitu cha kujadili tu na hujui lolote kuhusu unacho sema
Upande mmoja chief hangaya anaongoza nchi asiyo ijua vyema ... amekuwa bara kitambo lakini kwa majukumu mahususi sio general hajui utamaduni wa kila eneo.... hata aina ya watu anaowaongoza hawajui.
Ana struggle kuongoza wakati huo anahofu ya kupoteza. Anajaribu kupunguza nguvu ya kila anaemuona ni tishio kwake. Ukiangalia kwa jicho la tatu hata kesi ya mbowe ni mkakati wa uoga wake. Mikopo ni uoga, tengua tengua ya kina Lukuvi yote ni muendelezo wa uoga. Speaker Ndugai ni uoga. Kuwaingiza JK company nk. Hatuitaji rais wa aina hii kwa sasa hana muda wa kuangalia maslahi ya nchi zaidi ya kulinda kiti.
Kibaya zaidi ameruhusu hisia kuongoza akili... hii ina maana gani... mosi hana muda wa kutafakari wala kupata ushauri kwa watu tofauti kuhusu nani amsaidie nini na wapi.. technical know how.
Ukiangalia teuzibzake unabaki kushangaa tu mfano Tume ya madini kumweka Janeth Ruben (former Barrick HR manager) kuwa mkuu wa tume ni ujinga wa mwaka... hana uwezo wa kuleta mabadiliko chanya kwenye sector.
Kumuondoa Prof Manya pia ni kudhindwa kuelewa watu gani wakusaidie nini wapi. Huu ni mfano mdogo tu wa kushindwa kufanya maamuzi sahihi.
Hapana. Hiki ulichoongea hapa hakiko sahihi. Kosa kubwa ambalo watu wengi wanafanya katika ku-judge decission za Mama ni kwamba walio wengi wanamchukulia Mama kama Rais aliyechukua nchi baada ya Uchaguzi Mkuu, wakati siyo. Mama amechukua nchi katika hali ambayo ni ya EMERGENCE, na huwezi ukajua hiyo EMERGENCE iliisha au bado ipo kwa sababu wenye kuamua hilo ni wengine na siyo yeye peke yakeUpande mmoja chief hangaya anaongoza nchi asiyo ijua vyema ... amekuwa bara kitambo lakini kwa majukumu mahususi sio general hajui utamaduni wa kila eneo.... hata aina ya watu anaowaongoza hawajui.
Ana struggle kuongoza wakati huo anahofu ya kupoteza. Anajaribu kupunguza nguvu ya kila anaemuona ni tishio kwake. Ukiangalia kwa jicho la tatu hata kesi ya mbowe ni mkakati wa uoga wake. Mikopo ni uoga, tengua tengua ya kina Lukuvi yote ni muendelezo wa uoga. Speaker Ndugai ni uoga. Kuwaingiza JK company nk. Hatuitaji rais wa aina hii kwa sasa hana muda wa kuangalia maslahi ya nchi zaidi ya kulinda kiti.
Kibaya zaidi ameruhusu hisia kuongoza akili... hii ina maana gani... mosi hana muda wa kutafakari wala kupata ushauri kwa watu tofauti kuhusu nani amsaidie nini na wapi.. technical know how.
Ukiangalia teuzibzake unabaki kushangaa tu mfano Tume ya madini kumweka Janeth Ruben (former Barrick HR manager) kuwa mkuu wa tume ni ujinga wa mwaka... hana uwezo wa kuleta mabadiliko chanya kwenye sector.
Kumuondoa Prof Manya pia ni kudhindwa kuelewa watu gani wakusaidie nini wapi. Huu ni mfano mdogo tu wa kushindwa kufanya maamuzi sahihi.
Naunga mkono hoja hii. Mama inabidi ajitahidi kupunguza gharama za matumizi japo anajitahidi kutafuta fedha mpaka kwenye mikopo lakini serikali yetu ni kubwa sana. Kuna watu wengi wanahudumiwa moja kwa moja ambao wangepunguzwa. Kama kwenye mikoa.Upande mmoja chief hangaya anaongoza nchi asiyo ijua vyema ... amekuwa bara kitambo lakini kwa majukumu mahususi sio general hajui utamaduni wa kila eneo.... hata aina ya watu anaowaongoza hawajui.
Ana struggle kuongoza wakati huo anahofu ya kupoteza. Anajaribu kupunguza nguvu ya kila anaemuona ni tishio kwake. Ukiangalia kwa jicho la tatu hata kesi ya mbowe ni mkakati wa uoga wake. Mikopo ni uoga, tengua tengua ya kina Lukuvi yote ni muendelezo wa uoga. Speaker Ndugai ni uoga. Kuwaingiza JK company nk. Hatuitaji rais wa aina hii kwa sasa hana muda wa kuangalia maslahi ya nchi zaidi ya kulinda kiti.
Kibaya zaidi ameruhusu hisia kuongoza akili... hii ina maana gani... mosi hana muda wa kutafakari wala kupata ushauri kwa watu tofauti kuhusu nani amsaidie nini na wapi.. technical know how.
Ukiangalia teuzibzake unabaki kushangaa tu mfano Tume ya madini kumweka Janeth Ruben (former Barrick HR manager) kuwa mkuu wa tume ni ujinga wa mwaka... hana uwezo wa kuleta mabadiliko chanya kwenye sector.
Kumuondoa Prof Manya pia ni kudhindwa kuelewa watu gani wakusaidie nini wapi. Huu ni mfano mdogo tu wa kushindwa kufanya maamuzi sahihi.