Kabudi ni wakati wa kunyamaza; karma ikikunyamazisha familia yako itafedheheka sana

Kabudi ni wakati wa kunyamaza; karma ikikunyamazisha familia yako itafedheheka sana

Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.


Mnamlaumu bure, kwa sasa hayuko huko kama Prof. Kabudi, yupo kama Waziri wa Katiba na Sheria na katu hawezi kwenda kinyume na utashi wa serikali...Kama atataka kusimamia yake basi inabidi ajiuzulu na yenyewe siyo sawa kwakua ni kumkwamisha Rais ambaye hajatofautiana naye kiitikadi...Nyie endeleeni na kuwasilisha hoja zenu pasipo mashinikizo
 
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.


Kawawa ameingiaje hapo? Alifanya nini na history imemuandika nini?
 
Prof. Kabudi yuko sahihi kabisa....

Kuandika vitabu na kusimamia falsafa fulani haina maana huwezi KUBADILIKA huko mbele.....

Hivi hakuna wasomi waliokuwa ni WAPAGANI na baadaye wakaingia katika IMANI ZA DINI na kuandika mpaka VITABU kukosoa waliyokuwa WAKIYAAMINI ?!!!

Kwani PROFESA hawezi kuandika kitabu chengine akakosoa KITABU CHA MWANZO?!!!

Tumeona mpaka wazee wa NADHARIA(THEORIES) wakikosoana na kukosoa walioamini kabla....HUU NDIO USOMI....HIZI NDIZI NJIA ZA KISOMI ambazo MTOA HOJA hataku kutambaa kwa MAWANDA YAKE.......

Prof.Kabudi kusimamia misimamo mipya isionekane kuwa ni "MCHUMIA TUMBO".....

Kwangu anabaki kuwa ni msomi kama alivyo Dr.Mwakyembe pamoja na kukigeuka kitabu chake cha SERIKALI 3.......

Prof.Kabudi amesema ya kwamba ,Katiba yetu inajitosheleza....KISIASA IKO VYEMA...hatukupata shida baada ya kufiwa na mpendwa wetu hayati JPM.....

#KatibaYetuInatosha
#KaziIendelee
#UchumiKwanza
 
MUNGU katulia siku hizi,ila SOON atafanya Jambo lake. Tunzeni hii comment. Hawezi kuvumilia mtu Kama kabudi. Subirini amalize vikao vyake na Israeli
 
CCM ndivyo walivyo...chama kwanza nchi baadaye
 
Ndugu ,unatakiwa uelewe kuwa kile ambacho unakiamini si kila MTU atakiamini.Tunakuwa na utofauti wa maono na hoja.Lakini si kila hoja yako ni sahihi kabisa.Kiasi kwamba tuamini na tukubali unachoongea.Nafikiri CDM mnapotosha sana UMMA.Kama mngekuwa sahihi ,na katiba yenu ingekuwa sahihi ,wengi tungewaunga mkono.Lakini katiba yenu ni mbovu na mnadai katiba ya nchi.Haiwezrkani mkawa na chama ambacho ni cha familia.Halafu mnadai katiba ya nchi.
Sasa kama ni mbovu si uhamie CCM kwenye katiba nzuri mkuu? Sisi tunataka katiba ya nchi
 
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.

Hii mizee ndio maana inakufa stroke mshenzi sana huyo mzee.
 
Palamagamba ni muumini mzuri sana wa Seriali tatu na moyoni mwake anatamani kuiona Katiba mpya. Anachokifanya sasa ni hofu ya kutupwa tena jalalani walipomuokota mara ya kwanza
 
Usimpangie mtu maisha kila.kunapokuvha kuna kitu unaelewa kuliko jana, hivyo inawezekana wakati anapinga alikuwa hajaelimishwa.
Pia kubadili mawazo ni sehemu ya binadamu mwenye akili sawa.
Kwama wewe.za kwako.zinakupeleka bila kukurudisha nyuma basi ni tatizo.
Maana utakachoamua hata kama umekosea na ukajua lakini unashupaza shingo tu basi i tatizo.
Acha mzaha kwenye mambo mazito
 
Ndugu ,unatakiwa uelewe kuwa kile ambacho unakiamini si kila MTU atakiamini.Tunakuwa na utofauti wa maono na hoja.Lakini si kila hoja yako ni sahihi kabisa.Kiasi kwamba tuamini na tukubali unachoongea.Nafikiri CDM mnapotosha sana UMMA.Kama mngekuwa sahihi ,na katiba yenu ingekuwa sahihi ,wengi tungewaunga mkono.Lakini katiba yenu ni mbovu na mnadai katiba ya nchi.Haiwezrkani mkawa na chama ambacho ni cha familia.Halafu mnadai katiba ya nchi.
Unatania Mkuu?
 
Prof. Kabudi yuko sahihi kabisa....

Kuandika vitabu na kusimamia falsafa fulani haina maana huwezi KUBADILIKA huko mbele.....

Hivi hakuna wasomi waliokuwa ni WAPAGANI na baadaye wakaingia katika IMANI ZA DINI na kuandika mpaka VITABU kukosoa waliyokuwa WAKIYAAMINI ?!!!

Kwani PROFESA hawezi kuandika kitabu chengine akakosoa KITABU CHA MWANZO?!!!

Tumeona mpaka wazee wa NADHARIA(THEORIES) wakikosoana na kukosoa walioamini kabla....HUU NDIO USOMI....HIZI NDIZI NJIA ZA KISOMI ambazo MTOA HOJA hataku kutambaa kwa MAWANDA YAKE.......

Prof.Kabudi kusimamia misimamo mipya isionekane kuwa ni "MCHUMIA TUMBO".....

Kwangu anabaki kuwa ni msomi kama alivyo Dr.Mwakyembe pamoja na kukigeuka kitabu chake cha SERIKALI 3.......

Prof.Kabudi amesema ya kwamba ,Katiba yetu inajitosheleza....KISIASA IKO VYEMA...hatukupata shida baada ya kufiwa na mpendwa wetu hayati JPM.....

#KatibaYetuInatosha
#KaziIendelee
#UchumiKwanza
Serious Mkuu unamaanisha?
 
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.

Huyo ni chokoraa, kwani kwa kinywa chake mwenyewe alikiri kuwa Magufuli alimuokota jalalani.
 
Usimsahau Mwakyembe ambaye aliikana hata Thesis ya PhD yake Kwamba suluhisho la matatizo ya muungano ni serikali tatu. Akaruka kimanga na akasema mfumo uliopo ndiyo sahihi. Nina mashaka na ubora wa elimu inayotolewa kwa vijana wetu hapo UDSM kama walimu wenyewe ni hao.
Asisahauliwe Profesa Lipumba,huyu amekubali kukibomoa chama alichoshiriki kukijenga kwa tamaa ya kulijaza tumbo lake tu.
 
Back
Top Bottom