Kabudi: Tanzania imeweka historia, ndio nchi ya kwanza Afrika kusaini mkataba wa hisa isiyofifishwa

Kabudi: Tanzania imeweka historia, ndio nchi ya kwanza Afrika kusaini mkataba wa hisa isiyofifishwa

Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
kuna mtu mwenye akili anaweza kumuamini huyu profesa wa dampo?
 
Huyu mzee nilikuwa namuamini Sana.
Ila toka alivyoenda kubeba ile Juice ya Corona nje ya nchi na ndege ya serikali Imani yangu imepungua!!

Ukiacha alivyokuwa anatuaminisha kwenye Makinikia
Kwani ya makinikia ni uongo? Wee vipi. Kama huamini nchi ilikua inaibiwa kwenye makinikia utakua na matatizo ya akili.
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Huyu professor ni yule aliyetumwa Madagascar kuchukua Ile juice waliyotuganganya ni tiba ya corona?
 

Botswana wana 24% share ya mgodi wao wa almasi na De Beers; na sasa hivi wapo kwenye renegotiations wanataka 50% sio economic split kama sisi na Barrick.

Watu wamewekeza $2 billion miaka zaidi ya 20 bado wana 84% ya mgodi ambao kwa mwaka unazalisha $1 billion, halafu unajitapa. Si ajabu na huko wametumia hiyo hiyo model ya Kabudi kwenye mkataba wa Twiga.

Kabudi sio mtu wa kujadili mikataba ya kibiashara hayo mambo ni finance sasa Kabudi na hayo mambo wapi na wapi. Anachojua yeye toka aingie kwenye siasa ni kulamba miguu tu, akiulizwa ameona mikataba mingapi Africa mpaka ajitape huo ni wakipekee hawezi kuwa na majibu.
Sijaelewa kwa nini serikali inamtumia kama kiongozi wa timu katika haya mambo mtu asiye na uzoefu mpana katika uwekezaji wa muda mrefu na sekta ya madini au nishati.
 
Mgawanyo wa 53 kwa 47 wa nini? Faida ?
Mie hata Sina shida na hizo 16% Bali nawapongeza Kwa mgawanyo wa 53 Kwa 47 yaani Kwa mara ya kwanza Tanzania itapata asilia kubwa ya faida kuliko wawekezaji..

Haya ndio mambo tunataka.
 
Tanzania bado yahitaji makampuni zaidi ya 20 ya madini ili angalau tuweze pata hata tril 10 kwa mwaka
 
Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio
Dawa ya Madagasca iko wapi?
 
Huyu mzee nilikuwa namuamini Sana.
Ila toka alivyoenda kubeba ile Juice ya Corona nje ya nchi na ndege ya serikali Imani yangu imepungua!!

Ukiacha alivyokuwa anatuaminisha kwenye Makinikia
Kwani hiyo juice ya korona imekuathiri nini? Au uliaminishwa kunywa
 

Botswana wana 24% share ya mgodi wao wa almasi na De Beers; na sasa hivi wapo kwenye renegotiations wanataka 50% sio economic split kama sisi na Barrick.

Watu wamewekeza $2 billion miaka zaidi ya 20 bado wana 84% ya mgodi ambao kwa mwaka unazalisha $1 billion, halafu unajitapa. Si ajabu na huko wametumia hiyo hiyo model ya Kabudi kwenye mkataba wa Twiga.

Kabudi sio mtu wa kujadili mikataba ya kibiashara hayo mambo ni finance sasa Kabudi na hayo mambo wapi na wapi. Anachojua yeye toka aingie kwenye siasa ni kulamba miguu tu, akiulizwa ameona mikataba mingapi Africa mpaka ajitape huo ni wakipekee hawezi kuwa na majibu.
Yeye ana nafasi yake na watu wa finance wana nafasi yao. Mikataba ya kisheria ikikaa sawa hata wewe unaweza kusimama upande wa fedha. Ila mikataba ikiwa mibovu kisheria ujue umeuza nchi kwa miaka 30 ijayo.
 
Mie hata Sina shida na hizo 16% Bali nawapongeza Kwa mgawanyo wa 53 Kwa 47 yaani Kwa mara ya kwanza Tanzania itapata asilia kubwa ya faida kuliko wawekezaji..

Haya ndio mambo tunataka.
Hyo mgawanyo wa 53 KWA 47 ni mkataba upi huo?
 
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH ELEMENTS) katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Moja kati ya mengi niliyoyanasa ni hili alilolisema Prof Palamagamna Aidan Mwaluko Kabudi, Mwenyekiti Timu Maalum ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi.

Prof Kabudi ameeleza kuwa Katika kampuni zote mbili Serikali ya Tanzania ina hisa ya asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo isiyofifishwa, yaani (Non-Dilutable Free Carried Interest)

Prof Kabudi amesisitiza Tanzania ndio nchi nchi pekee ya Kiafrika kuingiza katika mikataba yake aina hii ya hisa na nchi nyingine zimekuwa zikijaribu kuweka kipengele hicho bila mafanikio


Kiufupi ni kwamba Kazi inaendelea na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia inaendelea kuweka historia.
Hizo rare earth elements mbona hazijawekwa wazi?? Unajua rare earth elements ni madini yenye thamani sana Ni mali adimu!!
 
Huo uongo bado hawajaacha tu.

Maana Toka mdogo naambiwa Tanzania ndio ya Kwanza kwenye kila kitu.
 
Yeye ana nafasi yake na watu wa finance wana nafasi yao. Mikataba ya kisheria ikikaa sawa hata wewe unaweza kusimama upande wa fedha. Ila mikataba ikiwa mibovu kisheria ujue umeuza nchi kwa miaka 30 ijayo.
Kwenye finance pia inategemea na chuo.
Lakini vyuo vingine vinafundisha aspects za contract law, tort na business law. Kwa ivyo sio financiers wote hawajui sheria.

Ila mwanasheria pekee awezi jua aspects za consideration kwenye mikataba (na ndio kitu muhimu kinachojadili value of exchange) hizo ndio sababu payment ya $37 million, inaweza geuka $86 million kwa sababu ujaelewa criteria’s za ‘variable consideration’.

Matokeo yake unabaki unalaumu uzembe wa manager ambae ni engineer tu wa ndege alieingia mkataba na wanasheria ambae anajua ku draft wording za mkataba lakini kwenye timu hakukuwa na financier ata mmoja au hata mtaalamu wa maswala ya procurement.
 
Itakuwaje kama mmiliki wa leseni ni sole proprietor or a company limited by guarantee?

Becase the issuance of shares would be non-existent.

It is also my understanding that investors/limited companies must earn back their capital plus any preferred return before the Governmeny can earn carried interest.

In other words, serikali itapata dividends in profit-making periods baada ya makato ya mtaji na expenses..

Hii ni principle ya kwanza kabisa as far as distribution waterfall is concerned.

Zipo ripoti kuwa serikali imekuwa selective in enforcing free carried interest (FCI) especially in the last few years.

Kumekuwa na sitonfahamu juu ya FCI as evidenced by Government scrapping th3Mining (State Participation) Regulations, 2020 and replacing it with the Mining (State Participation) Regulations 2022.

Still the 2022 Regulations do not specifically address the issue of FCI for the government in integrated companies that use their MLs or SMLs for local production of goods such as cement, gypsum etc.
 
Sijaelewa kwa nini serikali inamtumia kama kiongozi wa timu katika haya mambo mtu asiye na uzoefu mpana katika uwekezaji wa muda mrefu na sekta ya madini au nishati.
Haya mambo yanawezekana Tanzania tu.

Halafu leo kuna vijana wengi wanauelewa wa hiyo industry,

Kwenye nchi zingine industry expert lawyers uwa ni wasomi wa hiyo sector wenye work experience. Wanaruhusiwa kusoma masters ya mwaka mmoja tu ya sheria, baada ya hapo pata court experience ya mahakamani. Ukimaliza hapo anakuwa mwanasheria wa sector husika.

Tanzania mpaka leo sidhani kama kuna expert lawyers.
 
Back
Top Bottom