Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Acha ushabiki wa kitoto watatengeneza kwa ujuzi na vifaa vipi?
Zitakuwa zimewekewa bugs za kusikiliza na kupeleka taarifa Washington usicheze na CIA.Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Hata kama mabovu wewe mjomba wako analo? Hayawazuii kujiselfie.
Mkuu vipuli vya kutengeneza Helicopter kama black hawk usifikiri ni kama spare za IST au subaru kwamba unaenda maduka ya kariakoo kununua...ni lazma spare uinunue kwenye kampuni husika iliyotengeneza Hizo ndege tena kwa Oda na mfumo maalum wa Manunuzi wa Serikali au Jeshi.Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Hamna kitu hebu acheni . Unajua vifaa vya angani si vya kufikirika kihivyo. Lazima viwe vizima ndiyo viruke siyo swala la bahati nasibuHapo lazima ngoma zitembee tu, nikuziba kidogo kwenye dashbod, kuweka hiyo mishale na kubadili rangi vyombo vinapiga mzigo kama kawaida
Akili yako unaijua mwenyewe unafikiri kutengeneza helicopter tena ya kivita ni kama kutengenera Trekta? Hiyo mishale wataichonga au watapelekea Fundi saa?Hapo lazima ngoma zitembee tu, nikuziba kidogo kwenye dashbod, kuweka hiyo mishale na kubadili rangi vyombo vinapiga mzigo kama kawaida
Dah chuma chakavu kitamu kabisa hiki sijui takipatajeSiku ya kuondoka jeshi la marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la marekani, kumbe wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Kwahiyo unabishana na taliban, wana engineers wakutosha wale