obelisk
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 337
- 334
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1]jamaa mafundi maiko sana yaani.
ndio nini hivi sasa daaah[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1]jamaa mafundi maiko sana yaani.
ndio nini hivi sasa daaah[emoji1787][emoji1787]
Hapa hujatumia akili. Taleban hata uwape miaka 40 hawawezi tengeneza spare parts za hivyo vifaaZitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Hizi ndege serikali iliyoondolewa haikuwa na uwezo wa kuzifanyia maintenance wala operation. Sembuse hawa wavaa mashuka waliokuwa wanashangaa gymMkuu vipuli vya kutengeneza Helicopter kama black hawk usifikiri ni kama spare za IST au subaru kwamba unaenda maduka ya kariakoo kununua...ni lazma spare uinunue kwenye kampuni husika iliyotengeneza Hizo ndege tena kwa Oda na mfumo maalum wa Manunuzi wa Serikali au Jeshi.
Wewe unafikiri Hizo ndege ni bajaji?
Yaani hao taliban wakijitia wajuaji zitawaua waishe.
Na hata kama kuna Ndege ambazo bado ni nzima ni suala la muda tuu zikipata hitilafu kidogo tuu watakosa vipuli na kuzipaki juu ya Mawe, kwisha kazi.
Unafikiri Wamarekani ni wajinga wawaachie magaidi Ndege?
Mpaka USA wanaondoka hapo Airport wamekagua na kujiridhisha hakuna cha maana walichoacha.
Lkn hao hao wavaa mashuka wameweka history ambayo haitafutika hadi DUNIA inakwisha baada ya miaka 20 yrs kuondolewa kwenye madaraka na TALIBAN kuweka kwenye GROUP la KIGAIDI.Hizi ndege serikali iliyoondolewa haikuwa na uwezo wa kuzifanyia maintenaance wala operation. Sembuse hawa wavaa mashuka waliokuwa wanashangaa gym
Tuletee picha zikiruka hizo ndege nzima zilizoachwa.Hizo zilizoharibiwa ni zile za airport tu, kuna mzigo wa dollar billions kadhaa umeachwa kwenye makambi yaliokua yawamarekani, sasaivi mataifa na wakiwemo wamarekani wenyewe wanalalamika kuwa taliban wamepata mzigo mwingi ulioachwa kwenye makambi, kuna magari mengine jana yalionyeshwa yameingia Iran yanapelekwa huko, pia kuna maelfu ya majeshi wa serikali waliokua na vifaru na magari na silaha nyengine waliojisalikisha kwa Serikali ya Iran wakaomba ukimbizi huko na kusalimisha silaha
Kuna walizozipiga bom na walizoziacha, na walizoziharibu ni vitu viwili tofauti, walizoziacha bila kuziharibu ni nyingi sanaAsee wamepiga bomu sehemu kubwa ya mzigo, almost $3b.
Wewe unayevaa Suruali chini ya makalio una uweza mziki wa hao unao waita wavaa mashuka?Hizi ndege serikali iliyoondolewa haikuwa na uwezo wa kuzifanyia maintenaance wala operation. Sembuse hawa wavaa mashuka waliokuwa wanashangaa gym
Kama hawajabinuka nazoHapo lazima ngoma zitembee tu, nikuziba kidogo kwenye dashbod, kuweka hiyo mishale na kubadili rangi vyombo vinapiga mzigo kama kawaida
Hivi hujui China na Russia ndio partners wakuu wa Taliban kwa Sasa.????Acha ushabiki wa kitoto watatengeneza kwa ujuzi na vifaa vipi?
Sasa hawa ndio unasema wanaweza fanya maintenance ya helicopters? Spare parts watatoa wapi?Wewe unayevaa Suruali chini ya makalio una uweza mziki wa hao unao waita wavaa mashuka?
Kuvaa mashuka ni utamaduni wao kama ilivyo kwa wa Masai tu.
Aim ya USA AFGHANISTAN ilikuwa inajulikana toka walipo amua kuondoka kilicho tokea kime kuwa opposite na USA walicho tegemea kutokea AFGHANISTAN na hilo ndio linawaumiza vibaya sn .Kwanini USA hawakuzichukua hizo ndege zao na Halikopta?
Kwanini waliamua kuziacha Afghanistan hata kama wameziharibu?
Maana mpango wa wao kuondoka ulishatangazwa na Biden tena mpaka tarehe ya kuondoka ilisha julikana mapema.
Nimecheka sana....Hizi ndege serikali iliyoondolewa haikuwa na uwezo wa kuzifanyia maintenaance wala operation. Sembuse hawa wavaa mashuka waliokuwa wanashangaa gym
Wavaa kobazi Wana hasira......Wameshakuja wavaa makobazi uzi umeshakuwa maudhi