Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Mkuu Taliban kuwa na uhusiano wa kisjeshi na Iran, ni ndoto ya mchana. sababu Taliban ni waislam wa kisunni wenye msimamo mkali inayowaona wairani kwa vile madhehebu yao ni ya waislamu wa SHIA kuwa sio waislam ni makafiri, ndio maana 1998 Taliban walivokua wanaitawala Afghanistan walimuuwa Balozi mdogo wa Iran pamoja na wandiplomasi 8 kwenye mji wa Mazari-SharifView attachment 1921286
Unaongea 19... , Sisi tunaongea juzi hapa, taari taliban wanapokea gesi na mafuta kutoka Iran na Taliban waliahidi kuwa ubalozi wa Iran utakua salama ukiachana na Ubalozi wa Urusi na China, sasa hivi wanamahusiano mazuri tu kwa sababu Iran ndie aliechangia pakubwa US aondoke pale kwa kuwapatia waasi wa taliban silaha nzito na wamefanikiwa, kuna zana za kijeshi baada ya kuondoka marekani nyingi zimepelekwa Iran na Taliban, kumbuka kwa sasa Taliban wanataka uungwaji mkono na nchi yoyote haibagui, kumbuka pia Afghanistan inatumia mafuta na gesi kutoka Iran

Kuna kikao kilifanyika baina ya maofisa wa Iran na Taliban nitakuletea picha hapa soon baada ya taliban kushika madaraka na wamewahakikishia balozi zao zitakua salama

Usitake kulazimisha taliban kuwachukia Iran madhehebu yao kwa sasa hayahusiani na mgogoro wa Afghanistan
 
Taleban najua tu watasaidiwa na Iran kurekebisha ngawira zote zilizoachwa na mambo mengine.
Iran Shia wale hawana muda na Taliban Sunni ..Madege hayo watawaachia watoto wachezee tu
 
Hawa nao wanatuvuruga mbona juzi BBC wameweka wataliban wakifanya gwaride na Vifaa vya jeshi la [emoji631]
Mpaka helicopters zinapita juu na Humvees za kutosha tu
IMG_2246.jpg

IMG_2245.jpg

IMG_2248.jpg

Hazitapaa tena wakati tumeona helicopter zipo juu
 
Unaongea 19... , Sisi tunaongea juzi hapa, taari taliban wanapokea gesi na mafuta kutoka Iran na Taliban waliahidi kuwa ubalozi wa Iran utakua salama ukiachana na Ubalozi wa Urusi na China, sasa hivi wanamahusiano mazuri tu kwa sababu Iran ndie aliechangia pakubwa US aondoke pale kwa kuwapatia waasi wa taliban silaha nzito na wamefanikiwa, kuna zana za kijeshi baada ya kuondoka marekani nyingi zimepelekwa Iran na Taliban, kumbuka kwa sasa Taliban wanataka uungwaji mkono na nchi yoyote haibagui, kumbuka pia Afghanistan inatumia mafuta na gesi kutoka Iran

Kuna kikao kilifanyika baina ya maofisa wa Iran na Taliban nitakuletea picha hapa soon baada ya taliban kushika madaraka na wamewahakikishia balozi zao zitakua salama

Usitake kulazimisha taliban kuwachukia Iran madhehebu yao kwa sasa hayahusiani na mgogoro wa Afghanistan
Iran kuwa na ubalozi Kabul au kufanya mazungumzo ya ujirani mwema na wataliban, hiyo haimaanishi kuikubali Taliban. Kama ni taliban kukaribisha kuwa na uhusiano na nchi mbalimbali hata wamarekani waliambiwa tuko tayari kuwa na ushirikiano na nyinyi na ubalozi wao bado upo mjini kabul.ila hilo unalosema kuwa wafadhili wa Taliban ni Iran, hapo wana JF watakushangaa! Kwa vile inajulikana fika kuwa wafadhili wakubwa wa Taliban ni Pakistan na viongozi wao wakubwa walikua wakijificha Pakistan, kutokana Taliban wengi wao ni kabila la PASHTUUN na Pakistan na wao ni wapashtuun.
 
Mkuu vipuli vya kutengeneza Helicopter kama black hawk usifikiri ni kama spare za IST au subaru kwamba unaenda maduka ya kariakoo kununua...ni lazma spare uinunue kwenye kampuni husika iliyotengeneza Hizo ndege tena kwa Oda na mfumo maalum wa Manunuzi wa Serikali au Jeshi.

Wewe unafikiri Hizo ndege ni bajaji?

Yaani hao taliban wakijitia wajuaji zitawaua waishe.

Na hata kama kuna Ndege ambazo bado ni nzima ni suala la muda tuu zikipata hitilafu kidogo tuu watakosa vipuli na kuzipaki juu ya Mawe, kwisha kazi.

Unafikiri Wamarekani ni wajinga wawaachie magaidi Ndege?

Mpaka USA wanaondoka hapo Airport wamekagua na kujiridhisha hakuna cha maana walichoacha.

Ndio maana nimesikia kichefu chefu hata kumjibu… watanzania wengi wajinga sana.
 
wachina wakiitwa hapo hayo madude yote yanakuwa mapya
Wewe marekani iache, iitwe marekani superpower ( haija itwa uchina)kitecnology sasa hivi inacheza na sayari za anga sio ardhini.
Mwisho jiulize, kwanini madini ya tanzanite wananunua wamarekani tu! na kitu gani wanachofanyia, wakati ulimwengu mzima hawakifanyi?
 
Mkuu Taliban kuwa na uhusiano wa kisjeshi na Iran, ni ndoto ya mchana. sababu Taliban ni waislam wa kisunni wenye msimamo mkali inayowaona wairani kwa vile madhehebu yao ni ya waislamu wa SHIA kuwa sio waislam ni makafiri, ndio maana 1998 Taliban walivokua wanaitawala Afghanistan walimuuwa Balozi mdogo wa Iran pamoja na wandiplomasi 8 kwenye mji wa Mazari-SharifView attachment 1921286
sasa mbona talban wanapeleka zana za kijeshi zilizo achwa na marekan huko zinafata nini sasa ? Ebu nijibu
 
Mkuu Taliban kuwa na uhusiano wa kisjeshi na Iran, ni ndoto ya mchana. sababu Taliban ni waislam wa kisunni wenye msimamo mkali inayowaona wairani kwa vile madhehebu yao ni ya waislamu wa SHIA kuwa sio waislam ni makafiri, ndio maana 1998 Taliban walivokua wanaitawala Afghanistan walimuuwa Balozi mdogo wa Iran pamoja na wandiplomasi 8 kwenye mji wa Mazari-SharifView attachment 1921286
US military equipment has reportedly been spotted in Iran following the US withdrawal from Afghanistan

Several photographs of Humvees and other military vehicles on a highway in Iran have circulated on social media

 
Back
Top Bottom