Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Naona jamaa ameambulia walau maji ya kunywa

1630660564016.png
 
Kuna documentary niliona waingereza wakiharibu vitu wakati wakiondoka. Hadi visu vinakatwa. Nyaya zinakatwa. Bunduki zinasagwa, risasi zinakaangwa nk.
 
Kwanini USA hawakuzichukua hizo ndege zao na Halikopta?

Kwanini waliamua kuziacha Afghanistan hata kama wameziharibu?

Maana mpango wa wao kuondoka ulishatangazwa na Biden tena mpaka tarehe ya kuondoka ilisha julikana mapema.
Pengine,gharama za kuzisafirisha ni kubwa kuliko kuziharibu..Na ikumbukwe nikama walihitaji ya muda zaidi,Taliban waliwakatalia..
..Ni dhahiri kuna vitu waliondoka navyo,na ni kweli kuna vitu wameacha vingine vikiwa vimeharibiwa na vingine vizima kabisa..


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Mkuu vipuli vya kutengeneza Helicopter kama black hawk usifikiri ni kama spare za IST au subaru kwamba unaenda maduka ya kariakoo kununua...ni lazma spare uinunue kwenye kampuni husika iliyotengeneza Hizo ndege tena kwa Oda na mfumo maalum wa Manunuzi wa Serikali au Jeshi.

Wewe unafikiri Hizo ndege ni bajaji?

Yaani hao taliban wakijitia wajuaji zitawaua waishe.

Na hata kama kuna Ndege ambazo bado ni nzima ni suala la muda tuu zikipata hitilafu kidogo tuu watakosa vipuli na kuzipaki juu ya Mawe, kwisha kazi.

Unafikiri Wamarekani ni wajinga wawaachie magaidi Ndege?

Mpaka USA wanaondoka hapo Airport wamekagua na kujiridhisha hakuna cha maana walichoacha.
Una akili sana we jamaa.
 
Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Hawa waarab Hawa na binamu zao waajemi,kwanini wasiungane wwnzishe vita ya tatu ya Dunia,Afghanistan,Iran,Saudia,Qatar,Pakistan,Malaysia,Uturuki,Misri,Syria,na washirika wao Urusi,china waungane wachapane na US na binamu yake UK na Ulaya,na Israel,Ili tueshimiane hapa duniani.
 
US military equipment has reportedly been spotted in Iran following the US withdrawal from Afghanistan

Several photographs of Humvees and other military vehicles on a highway in Iran have circulated on social media


Kwenye hiyo link uliyoweka kuna sehemu Wenyewe usa wanasema hivyo vitu sio deal wala sio tishio kwa usalama wa usa …"It is not the type of equipment that will be of great strategic use to any force, and does not represent a significant threat to US forces or the militaries of neighbouring countries."

Kwahiyo Iran anaona USA wajinga kwa kuacha hayo magali [emoji23][emoji23]
 
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.

View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Hapana kuna ndege nyingi zimeachwa na us army
Screenshot_20210903-082601_Facebook.jpg
 
Hawahitaji huo uchafu kubazi na mtutu wa kirusi na kanzu + ndevu ni uanaume tosha,kwa lugha nyingine tunaita man to man.
 
Hata katika baadhi ya nchi za afrika zilipopata uhuru,wazungu waliwazibia baadhi ya mijengo na kuzimiwa umeme.
Taliban waziweke makumbusho hizo hedicofta samahani ni helicopter ili watu walipie kwenda kuziona.
Ombi langu kwa Taliban. Tunawaomba Taliban msiweke tozo mpya ya miamala
 
Mimi kitu kimenifurahisha ni kua Mabeberu wamerudi kwao baada ya miaka 20 ya kula kapa...Mabeberu waaenda kwa nchi za wenyewe na kujifanya wajua kila kitu!!!, wametia akili sasa, watafute pahali pengine kwenda kutest vyombo na wanajeshi wake. Mtaliban ni mkavu.......imagine Mrusi pia alioga hapo kandahar!
 
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.

View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566

Nilisema Mmarekani ni mnafiki watu wengi hawakunielewa. Leo wamekuja na hoja ya kushirikiana na Taleban ila wanasema hawataitambua kama serikali halali.

Yaani baada ya kujifanya kupigana na Taliban kwa takriban miaka ishirini, uharibifu wote huo, mauaji hayo yote! Marekani anakuja kushirikiana na Taliban? Huu upuuzi unatakiwa kushabikiwa na maduwanzi tu.

Hata kama wameacha magofu bado ukweli uko pale pale, Marekani imeshindwa na kuondoka Afghanistan kwa aibu.

Hakuna taifa litakaloliogopa Marekani tena. Wana PR tu ila nguvu ya vita labda teknlogjia
 
Back
Top Bottom