Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni maji ya kunywa!!?
Pengine,gharama za kuzisafirisha ni kubwa kuliko kuziharibu..Na ikumbukwe nikama walihitaji ya muda zaidi,Taliban waliwakatalia..Kwanini USA hawakuzichukua hizo ndege zao na Halikopta?
Kwanini waliamua kuziacha Afghanistan hata kama wameziharibu?
Maana mpango wa wao kuondoka ulishatangazwa na Biden tena mpaka tarehe ya kuondoka ilisha julikana mapema.
Kaa pembeni wewe huna hoja zaidi ya kubabaikia wanaume,sio kila mtu ni mchezea tope,acha kujilengesha mpumbavu wewe.Usinifate pm bana tafuta watu saizi yako wakusukumishe ukuta
Wewe shoga bado unanifata tu kula kona tafuta wasafisha mitaro sehemu nyingine alaaKaa pembeni wewe huna hoja zaidi ya kubabaikia wanaume,sio kila mtu ni mchezea tope,acha kujilengesha mpumbavu wewe.
Una akili sana we jamaa.Mkuu vipuli vya kutengeneza Helicopter kama black hawk usifikiri ni kama spare za IST au subaru kwamba unaenda maduka ya kariakoo kununua...ni lazma spare uinunue kwenye kampuni husika iliyotengeneza Hizo ndege tena kwa Oda na mfumo maalum wa Manunuzi wa Serikali au Jeshi.
Wewe unafikiri Hizo ndege ni bajaji?
Yaani hao taliban wakijitia wajuaji zitawaua waishe.
Na hata kama kuna Ndege ambazo bado ni nzima ni suala la muda tuu zikipata hitilafu kidogo tuu watakosa vipuli na kuzipaki juu ya Mawe, kwisha kazi.
Unafikiri Wamarekani ni wajinga wawaachie magaidi Ndege?
Mpaka USA wanaondoka hapo Airport wamekagua na kujiridhisha hakuna cha maana walichoacha.
Hawa waarab Hawa na binamu zao waajemi,kwanini wasiungane wwnzishe vita ya tatu ya Dunia,Afghanistan,Iran,Saudia,Qatar,Pakistan,Malaysia,Uturuki,Misri,Syria,na washirika wao Urusi,china waungane wachapane na US na binamu yake UK na Ulaya,na Israel,Ili tueshimiane hapa duniani.Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
US military equipment has reportedly been spotted in Iran following the US withdrawal from Afghanistan
Several photographs of Humvees and other military vehicles on a highway in Iran have circulated on social media
Wewe mtoto wa zinaa piga kimya huna hoja hapa,usilazimishe kuchimbuliwa hapa.Wewe shoga bado unanifata tu kula kona tafuta wasafisha mitaro sehemu nyingine alaa
Hapana kuna ndege nyingi zimeachwa na us armySiku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.
View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Bado tu unanifata tafuta mabasha wakusukumishe ukuta.......Wewe mtoto wa zinaa piga kimya huna hoja hapa,usilazimishe kuchimbuliwa hapa.
Watoto wa zinaa hua mna midomo michafu sana sababu ya malezi ya hovyo hovyo.Bado tu unanifata tafuta mabasha wakusukumishe ukuta.......
mimi sifanyi mambo hayo ya kutatua marinda usirudi tena.....
Nimekuonya usini quote tena.......mm sitatui marinda watuWatoto wa zinaa hua mna midomo michafu sana sababu ya malezi ya hovyo hovyo.
Malezi ya hovyo uliyoyapitia ndio yanayo kufanya uandike upumbavu humu.Nimekuonya usini quote tena.......mm sitatui marinda watu
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.
View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Wameshaanza kupeleka magari ya kijesh IRANTaleban najua tu watasaidiwa na Iran kurekebisha ngawira zote zilizoachwa na mambo mengine.