Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Hasira zao wamewapa Iran wakibadilishana kwa Mafuta diesel na Petrol kama mbwai mbwai tu
 
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.

View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Arsonists.

Hasira za kushindwa vita.
 
Marekani co mujinga awaachie zikiwa nzima,,, anajuwa kabisa watacopy kama zilivyo,,, alafu ninyi wabongo msijilinganishe na Afghanistan,,yanii imefikia stage mnawazarau,, hamujaenda wala kuishi nchi yao walau mwezi mmoja mujioneee. Hao co waswahili wa lukutana gengeni kunywa kahawa na majungu juu,, wenzetu kazi kazi nyie hata toothpick imewashinda!!! God bless Afghanistan
 
Marekani co mujinga awaachie zikiwa nzima,,, anajuwa kabisa watacopy kama zilivyo,,, alafu ninyi wabongo msijilinganishe na Afghanistan,,yanii imefikia stage mnawazarau,, hamujaenda wala kuishi nchi yao walau mwezi mmoja mujioneee. Hao co waswahili wa lukutana gengeni kunywa kahawa na majungu juu,, wenzetu kazi kazi nyie hata toothpick imewashinda!!! God bless Afghanistan
Hao wanaoshangaa gym! Hawawezi kuzitengeneza
 
Spare parts ndio hitaji kubwa ktk matengenezo, watapata wapi?
China of course - miaka ya nyuma Auditor General wa Serikali ya USA alishangaa alipo baini kwamba robo tatu za vipuri vya military planes za kwao vilikuwa vinaagizwa kutoka Uchina!!! Sasa Wataliban watashindwaje kuwaomba Wachina wakarabati ndege na chopper zilizo achwa na USA zikiwa zimeharibiwa makusudi.
 
Na alivyokuwa anajiamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hajui kuwa kunaa nchi zipo na zinafanana majina ya mwisho.


There are seven countries in Central Asia with the suffix "-stan": Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Kyrgyzstan, Turkmenistan, Afghanistan, and Pakistan. The suffix comes from the Persian root istan, or "land"—hence the "land of the Uzbeks," "land of the Kazakhs," and so forth.
 
Hajui kuwa kunaa nchi zipo na zinafanana majina ya mwisho.


There are seven countries in Central Asia with the suffix "-stan": Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Kyrgyzstan, Turkmenistan, Afghanistan, and Pakistan. The suffix comes from the Persian root istan, or "land"—hence the "land of the Uzbeks," "land of the Kazakhs," and so forth.

Alikurupuka sana
Tena miji yao mizuri tu ila haivumi [emoji106]
 
Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Wao wanachofahamu ni kukata watu vichwa tu na mikono, hata majambia tu wanazotumia katika kulazimisha imani yao pia wanaagiza kutoka kwa wengine.
 
Hajui kuwa kunaa nchi zipo na zinafanana majina ya mwisho.


There are seven countries in Central Asia with the suffix "-stan": Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Kyrgyzstan, Turkmenistan, Afghanistan, and Pakistan. The suffix comes from the Persian root istan, or "land"—hence the "land of the Uzbeks," "land of the Kazakhs," and so forth.
I think the suffix "Stan" and not "Istan" has its roots from the Turkish group of languages and not Persian.
 
Back
Top Bottom