Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio akili yako ilipoishia hapo tuu? Naona unarudia ki comment kile kile! Wewe ni mpumbavu huna akili.Acha kunifata pm nikutatue marinda huo mchezo sifanyi husikii!!??
alafu unang'ang'ania mtu akukule noma sana
Una uhakika?Hakuna nchi inayoitwa Khazakhstan, ila kuna nchi inayoitwa "TAJIKISTAN"
Arsonists.Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.
View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Bado tu unafata .......kweli mbyundu wako unakuwasha cheki watu wengine mm sitatui watu rindaNdio akili yako ilipoishia hapo tuu? Naona unarudia ki comment kile kile! Wewe ni mpumbavu huna akili.
We Mama kaa pembeni huna hoja zaidi ya kugeuka kua kituko tu hapa,Bado tu unafata .......kweli mbyundu wako unakuwasha cheki watu wengine mm sitatui watu rinda
Una uhakika?
Ndege na choppers zitafufuliwa/karabatiwa na Wachina in no time - mpaka Uncle SAM hata amini macho yake akiona zinaruka tena hewaniZitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Hao wanaoshangaa gym! Hawawezi kuzitengenezaMarekani co mujinga awaachie zikiwa nzima,,, anajuwa kabisa watacopy kama zilivyo,,, alafu ninyi wabongo msijilinganishe na Afghanistan,,yanii imefikia stage mnawazarau,, hamujaenda wala kuishi nchi yao walau mwezi mmoja mujioneee. Hao co waswahili wa lukutana gengeni kunywa kahawa na majungu juu,, wenzetu kazi kazi nyie hata toothpick imewashinda!!! God bless Afghanistan
Marekani washenzi sana hahahaCages za mbwa ni nzima waanze ufugaji
China of course - miaka ya nyuma Auditor General wa Serikali ya USA alishangaa alipo baini kwamba robo tatu za vipuri vya military planes za kwao vilikuwa vinaagizwa kutoka Uchina!!! Sasa Wataliban watashindwaje kuwaomba Wachina wakarabati ndege na chopper zilizo achwa na USA zikiwa zimeharibiwa makusudi.Spare parts ndio hitaji kubwa ktk matengenezo, watapata wapi?
Bado unang'ang'ania dushe likutatue.....We Mama kaa pembeni huna hoja zaidi ya kugeuka kua kituko tu hapa,
Kampikie mumeo usije ukaachika.
Hao ndio level ya akili ya wengi tu humu JFAre you serious
Really
Kazakhstan na ukubwa wake wote huo unasema hakuna nchi inaitwa hivyo
Geography imekupiga chenga lakini ungeangalia hata google kujiridhisha
View attachment 1921531
View attachment 1921532
Spare parts ndio hitaji kubwa ktk matengenezo, watapata wapi?
Hao ndio level ya akili ya wengi tu humu JF
Wengi ni tutusa wenye simu janja ya kuingia mtandao inakuwa shida tu....
Na alivyokuwa anajiamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui kuwa kunaa nchi zipo na zinafanana majina ya mwisho.
There are seven countries in Central Asia with the suffix "-stan": Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Kyrgyzstan, Turkmenistan, Afghanistan, and Pakistan. The suffix comes from the Persian root istan, or "land"—hence the "land of the Uzbeks," "land of the Kazakhs," and so forth.
Wao wanachofahamu ni kukata watu vichwa tu na mikono, hata majambia tu wanazotumia katika kulazimisha imani yao pia wanaagiza kutoka kwa wengine.Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
I think the suffix "Stan" and not "Istan" has its roots from the Turkish group of languages and not Persian.Hajui kuwa kunaa nchi zipo na zinafanana majina ya mwisho.
There are seven countries in Central Asia with the suffix "-stan": Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Kyrgyzstan, Turkmenistan, Afghanistan, and Pakistan. The suffix comes from the Persian root istan, or "land"—hence the "land of the Uzbeks," "land of the Kazakhs," and so forth.