Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Moshi?Zingekuwa Moshi zingechongewa spare mpaka zingeruka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi?Zingekuwa Moshi zingechongewa spare mpaka zingeruka
KabisaNimeipenda hii...
Walitegemea wakiondoka wataacha vitu vizima bila kujua kwamba kuharibu vitu beyond repair ni mbinu pia tena ya siku nyingi.
Nilisema Mmarekani ni mnafiki watu wengi hawakunielewa. Leo wamekuja na hoja ya kushirikiana na Taleban ila wanasema hawataitambua kama serikali halali.
Yaani baada ya kujifanya kupigana na Taliban kwa takriban miaka ishirini, uharibifu wote huo, mauaji hayo yote! Marekani anakuja kushirikiana na Taliban? Huu upuuzi unatakiwa kushabikiwa na maduwanzi tu.
Hata kama wameacha magofu bado ukweli uko pale pale, Marekani imeshindwa na kuondoka Afghanistan kwa aibu.
Hakuna taifa litakaloliogopa Marekani tena. Wana PR tu ila nguvu ya vita labda teknlogjia
HahahajaksjshshsjsjshshjsNilisema Mmarekani ni mnafiki watu wengi hawakunielewa. Leo wamekuja na hoja ya kushirikiana na Taleban ila wanasema hawataitambua kama serikali halali.
Yaani baada ya kujifanya kupigana na Taliban kwa takriban miaka ishirini, uharibifu wote huo, mauaji hayo yote! Marekani anakuja kushirikiana na Taliban? Huu upuuzi unatakiwa kushabikiwa na maduwanzi tu.
Hata kama wameacha magofu bado ukweli uko pale pale, Marekani imeshindwa na kuondoka Afghanistan kwa aibu.
Hakuna taifa litakaloliogopa Marekani tena. Wana PR tu ila nguvu ya vita labda teknlogjia
Vp kuhusu urusi unamuweka wapi maana Naye alivurumishwa na haohao Taliban alipakimbia hapo Hana hamu nao vp Naye haiogopwi tena sababu Tu alipgwa na hao Taliban tena chini ya huyu huyu PutinNilisema Mmarekani ni mnafiki watu wengi hawakunielewa. Leo wamekuja na hoja ya kushirikiana na Taleban ila wanasema hawataitambua kama serikali halali.
Yaani baada ya kujifanya kupigana na Taliban kwa takriban miaka ishirini, uharibifu wote huo, mauaji hayo yote! Marekani anakuja kushirikiana na Taliban? Huu upuuzi unatakiwa kushabikiwa na maduwanzi tu.
Hata kama wameacha magofu bado ukweli uko pale pale, Marekani imeshindwa na kuondoka Afghanistan kwa aibu.
Hakuna taifa litakaloliogopa Marekani tena. Wana PR tu ila nguvu ya vita labda teknlogjia
KabisaZingeachwa bongo hizi, baada ya muda mtaani ungekutana na majiko ya wachoma mahindi/mishikaki yenye rangi za kijeda...
Kwa dollar danganya wengineHizo zilizoharibiwa ni zile za airport tu, kuna mzigo wa dollar billions kadhaa umeachwa kwenye makambi yaliokua yawamarekani, sasaivi mataifa na wakiwemo wamarekani wenyewe wanalalamika kuwa taliban wamepata mzigo mwingi ulioachwa kwenye makambi, kuna magari mengine jana yalionyeshwa yameingia Iran yanapelekwa huko, pia kuna maelfu ya majeshi wa serikali waliokua na vifaru na magari na silaha nyengine waliojisalikisha kwa Serikali ya Iran wakaomba ukimbizi huko na kusalimisha silaha
ND maana wamelalamikaHapa hujatumia akili. Taleban hata uwape miaka 40 hawawezi tengeneza spare parts za hivyo vifaa
Ulipata chanjo ya COVID-19 na ya Tatizo la akiliLkn hao hao wavaa mashuka wameweka history ambayo haitafutika hadi DUNIA inakwisha baada ya miaka 20 yrs kuondolewa kwenye madaraka na TALIBAN kuweka kwenye GROUP la KIGAIDI.
TAIFA KUBWA na lenye nguvu wamekubali yaishe na kufikiria kunegotiate na Kundi wao waliliweka kwenye kundi la KIGAIDI kwa maana mziki wao wameushindwa wavaa mashuka wametisha na kitu kingine USA inawauma sn vitu walivyo chukua hao jamaa for free vina cost BILLION OF DOLLAR .
USA walicho kifanya pale AIRPORT kuharibu zile Helicopter ni sawa sawa na Mtu umemfuma mwanamke wako uliye muhudumia kwa muda mrefu ukachukua Simu yake na kuivunja.
IpoHakuna nchi inayoitwa Khazakhstan, ila kuna nchi inayoitwa "TAJIKISTAN"
LinkKuna documentary niliona waingereza wakiharibu vitu wakati wakiondoka. Hadi visu vinakatwa. Nyaya zinakatwa. Bunduki zinasagwa, risasi zinakaangwa nk.
Umri wako tafadhaliHawa waarab Hawa na binamu zao waajemi,kwanini wasiungane wwnzishe vita ya tatu ya Dunia,Afghanistan,Iran,Saudia,Qatar,Pakistan,Malaysia,Uturuki,Misri,Syria,na washirika wao Urusi,china waungane wachapane na US na binamu yake UK na Ulaya,na Israel,Ili tueshimiane hapa duniani.
Hii ni us helicopterHapana kuna ndege nyingi zimeachwa na us armyView attachment 1922573
Spare parts ndio hitaji kubwa ktk matengenezo, watapata wapi?Kwahiyo unabishana na taliban, wana engineers wakutosha wale
Ww bana bado unang'ang'ania tu nikuwashe kimoja......katafute mabasha pande zingine nimeshakwambia mm situmii marindaMalezi ya hovyo uliyoyapitia ndio yanayo kufanya uandike upumbavu humu.
Hapa hujatumia akili. Taleban hata uwape miaka 40 hawawezi tengeneza spare parts za hivyo vifaa
Siku zote mtu jambo alifanyalo hudhani au huamini kua na watu wengine hufanya kama afanyavyo yeye,Ww bana bado unang'ang'ania tu nikuwashe kimoja......katafute mabasha pande zingine nimeshakwambia mm situmii marinda
Kubalini tuu kwamba wameachiwa Skrepa Suala la urusi au Iran kuja kukarabati skrepa hilo sahau...hayo ni mawazo yako wewe mwenyewe
Acha kunifata pm nikutatue marinda huo mchezo sifanyi husikii!!??Siku zote mtu jambo alifanyalo hudhani au huamini kua na watu wengine hufanya kama afanyavyo yeye,
Una jitangaza hapa kua unaliwa marinda japo unajitangaza indirect ila umeeleweka.