Unadhani ndege ni kama Land Rover sioKwahiyo unabishana na taliban, wana engineers wakutosha wale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani ndege ni kama Land Rover sioKwahiyo unabishana na taliban, wana engineers wakutosha wale
Zingekuwa Moshi zingechongewa spare mpaka zingerukaDah chuma chakavu kitamu kabisa hiki sijui takipataje
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Nimeipenda hii...Cages za mbwa ni nzima waanze ufugaji
Cages za mbwa ni nzima waanze ufugaji
Tatizo lenu huwa mnawaza hisia na matamanio yenu binafsi ..unafikiri warusi wana muda wa kijinga wa kuanza kuchonga vipuli vya kukarabati ndege za USA na wakati hata wao wana helicopter za kwao walizotengeneza tena Nzuri sana tu kama za USA?Mrusi ataingia kuzifanyia modify na vifaa vyake chap kitu kinaruka tu.
Siku ya kuondoka jeshi la marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.
View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566
Sasa screpa si zao we inakuuma niniTatizo lenu huwa mnawaza hisia na matamanio yenu binafsi ..unafikiri warusi wana muda wa kijinga wa kuanza kuchonga vipuli vya kukarabati ndege za USA na wakati hata wao wana helicopter za kwao walizotengeneza tena Nzuri sana tu kama za USA?
Kubalini tuu kwamba wameachiwa Skrepa Suala la urusi au Iran kuja kukarabati skrepa hilo sahau...hayo ni mawazo yako wewe mwenyewe
Sasa screpa si zaoTatizo lenu huwa mnawaza hisia na matamanio yenu binafsi ..unafikiri warusi wana muda wa kijinga wa kuanza kuchonga vipuli vya kukarabati ndege za USA na wakati hata wao wana helicopter za kwao walizotengeneza tena Nzuri sana tu kama za USA?
Kubalini tuu kwamba wameachiwa Skrepa Suala la urusi au Iran kuja kukarabati skrepa hilo sahau...hayo ni mawazo yako wewe mwenyewe
Hawawezi shenzi zaoZitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Hawawezi zimekufa hizo......Hapo lazima ngoma zitembee tu, nikuziba kidogo kwenye dashbod, kuweka hiyo mishale na kubadili rangi vyombo vinapiga mzigo kama kawaida
Usikute wametega mabomu siku zikiruka zinalipukaMrusi ataingia kuzifanyia modify na vifaa vyake chap kitu kinaruka tu.
Asee wamepiga bomu sehemu kubwa ya mzigo, almost $3b.Hizo zilizoharibiwa ni zile za airport tu, kuna mzigo wa dollar billions kadhaa umeachwa kwenye makambi yaliokua yawamarekani, sasaivi mataifa na wakiwemo wamarekani wenyewe wanalalamika kuwa taliban wamepata mzigo mwingi ulioachwa kwenye makambi, kuna magari mengine jana yalionyeshwa yameingia Iran yanapelekwa huko, pia kuna maelfu ya majeshi wa serikali waliokua na vifaru na magari na silaha nyengine waliojisalikisha kwa Serikali ya Iran wakaomba ukimbizi huko na kusalimisha silaha
Vipuri OG ni made in USA! and when you place the order you have to provide Equipment Serial Number😁Zitatengenezwa tu na zitatumika tena usicheze na taliban
Siku ya kuondoka jeshi la marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi kutengenezeka na kuacha magofu yasioweza kutumika.
View attachment 1920558View attachment 1920560View attachment 1920561View attachment 1920562View attachment 1920563View attachment 1920564View attachment 1920565View attachment 1920566