Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Eti rahis tuu wakitaka [emoji1787][emoji1787][emoji3526] watu mnaongea kama mnakunya yaani. Manachukulia mambo kirahisi rahisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi ni wa moto sana [emoji23][emoji23][emoji119] wazee wa surwale fupi wanambwela tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wewe ni Profesa wa vilaza na sifa mojawapo kuu ya Maprofesa wa vilaza ni kutukana baada ya kushindwa hoja. Kwahiyo endelea kutukana uwadhihirishie walimwengu uzamivu wako katika fani ya ukilaza.
 
Una mume mwarabu ?
 
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Yaani wanawachukia kisha wanategemea wawaachie multimillion dollar equipment, haaa haaa umaskini mbaya.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…