KABUL: Wapiganaji watatu wa Taliban wafariki baada ya kujaribu Kurusha Helikopta za Black Hawk zilizoachwa na Marekani nchini humo

KABUL: Wapiganaji watatu wa Taliban wafariki baada ya kujaribu Kurusha Helikopta za Black Hawk zilizoachwa na Marekani nchini humo

No siyo mmarikan mimi nimekuuliza kama wewe mtalban kwa sababu umeonekana kutetea hizo pumba walizofanya hapo.

Kabisa ndege ziachwe karakana mwaka leo muende mkazifanyie test kweli hiyo akili?
Ndio wamekwambia kua waliirukia tu na kuiwasha? Hata kama waliweza kuiwasha bado huo ni ujasiri ikiwa wewe hapo ulipo pengine huwezi hata kuwasha Bodaboda tu tena ikiwa nzima.
 
Nimeongelea kutake risk kwenye jambo lolote lile,kwa akili yako uliyoamua kuiweka mfukoni unafikiri ujasiri unapimwa kwa kurusha Ndege tu!

Jifundishe japo kuhoji vitu vya maana.
Hao ni wajinga tu siwezi kutake risk kwa kitu najua asilimia mia moja ntapoteza maisha kama hao jamaa.ule ni mtego waliwekewa na wamarekani
 
Hiyo ni kwa tafsiri yako na chuki zako za udini,kuhusu vyombo vya usafiri wengi tu wamekufa mpaka wakaja kufanikiwa jambo lao.
Mbona umeshakimbilia kwenye dini tena?

Dini ndiyo imewafundisha wawe wajinga kwenda kuendesha ndege zilizokaa karakana mwaka?hao wengi waliokufa at least walikuwa wanajua ABCs za wanachokifanya siyo hizo pimbi kwenda kuokota ndege za maadui na kuzipanda.
 
Mbona umeshakimbilia kwenye dini tena?

Dini ndiyo imewafundisha wawe wajinga kwenda kuendesha ndege zilizokaa karakana mwaka?hao wengi waliokufa at least walikuwa wanajua ABCs za wanachokifanya siyo hizo pimbi kwenda kuokota ndege za maadui na kuzipanda.
Unaona sasa ulivyo empty upstairs? Hawajui ABC's ila wakaweza kuiwasha Ndege iliyokaa mwaka na ikawaka.
 
So hapa sisi tunaowashangaa wao kuendesha ndege zilizoachwa na maadui na wewe unayeshangilia wao kuziendesha nani chizi nani mzima?
Wewe uliyekaa hapo home ukisubiri ule kisha ugombanie remote na watoto wa Dada yako na hao Wataliban wanaotake risk nani hana akili? Utakufa masikini,Mwanaume lazima atake risk.
 
Wewe uliyekaa hapo home ukisubiri ule kisha ugombanie remote na watoto wa Dada yako na hao Wataliban wanaotake risk nani hana akili? Utakufa masikini,Mwanaume lazima atake risk.
Usibadili gia tuwajadili hao vilaza,huyu unayemshambulia kuwa anagombania remote humjui hakujui,rudi kwenye mstari.uncalculated risk ni upopoma
 
Unaona sasa ulivyo empty upstairs? Hawajui ABC's ila wakaweza kuiwasha Ndege iliyokaa mwaka na ikawaka.
Hilo ni tatizo shehe

Wewe na wao hapo ndipo mnapopotea akili,majuzi tulikuwa na ugomvi nikakuchakaza nikaondoka kwangu nikaacha baadhi ya zana zangu kwako wewe usijiulize kama ni mtego au siyo leo unaenda kuzidanda!!!

Una akili sawasawa?
 
Back
Top Bottom