Nao pia ni wajinga tuHao sio wajinga kama unavyofikiria..vipi kuhusu wale ambao kila siku Gari za mafuta zikianguka wanakimbilia kuchota mafuta na kuishia kulipukiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nao pia ni wajinga tuHao sio wajinga kama unavyofikiria..vipi kuhusu wale ambao kila siku Gari za mafuta zikianguka wanakimbilia kuchota mafuta na kuishia kulipukiwa?
Ndio wamekwambia kua waliirukia tu na kuiwasha? Hata kama waliweza kuiwasha bado huo ni ujasiri ikiwa wewe hapo ulipo pengine huwezi hata kuwasha Bodaboda tu tena ikiwa nzima.No siyo mmarikan mimi nimekuuliza kama wewe mtalban kwa sababu umeonekana kutetea hizo pumba walizofanya hapo.
Kabisa ndege ziachwe karakana mwaka leo muende mkazifanyie test kweli hiyo akili?
Sawa,wewe mwerevu endelea tu kusubiri ugali wa Bimkubwa hapo home,usitake risk yeyote.Nao pia ni wajinga tu
Wewe jasiri umerusha ndege ngapi?Sawa,wewe mwerevu endelea tu kusubiri ugali wa Bimkubwa hapo home,usitake risk yeyote.
Nimeongelea kutake risk kwenye jambo lolote lile,kwa akili yako uliyoamua kuiweka mfukoni unafikiri ujasiri unapimwa kwa kurusha Ndege tu!Wewe jasiri umerusha ndege ngapi?
Hao ni wajinga tu siwezi kutake risk kwa kitu najua asilimia mia moja ntapoteza maisha kama hao jamaa.ule ni mtego waliwekewa na wamarekaniNimeongelea kutake risk kwenye jambo lolote lile,kwa akili yako uliyoamua kuiweka mfukoni unafikiri ujasiri unapimwa kwa kurusha Ndege tu!
Jifundishe japo kuhoji vitu vya maana.
Mbona umeshakimbilia kwenye dini tena?Hiyo ni kwa tafsiri yako na chuki zako za udini,kuhusu vyombo vya usafiri wengi tu wamekufa mpaka wakaja kufanikiwa jambo lao.
Hahah sawa mkuu!Ndio wamekwambia kua waliirukia tu na kuiwasha? Hata kama waliweza kuiwasha bado huo ni ujasiri ikiwa wewe hapo ulipo pengine huwezi hata kuwasha Bodaboda tu tena ikiwa nzima.
Ni kawaida mtu asiye na akili kudhani kua na wengine hawana akili kama alivyo yeye,sikushangai,Hahah sawa mkuu!
Point tatu chukua wewe lakini elewa hao jamaa vichwa vyao akili havina.
Unaona sasa ulivyo empty upstairs? Hawajui ABC's ila wakaweza kuiwasha Ndege iliyokaa mwaka na ikawaka.Mbona umeshakimbilia kwenye dini tena?
Dini ndiyo imewafundisha wawe wajinga kwenda kuendesha ndege zilizokaa karakana mwaka?hao wengi waliokufa at least walikuwa wanajua ABCs za wanachokifanya siyo hizo pimbi kwenda kuokota ndege za maadui na kuzipanda.
Waliweka mtego kisha wakakimbia sio? Ingekua watu kama wewe ndio mnaishi Afghanistan mngetawaliwa maisha yenu yote.Hao ni wajinga tu siwezi kutake risk kwa kitu najua asilimia mia moja ntapoteza maisha kama hao jamaa.ule ni mtego waliwekewa na wamarekani
So hapa sisi tunaowashangaa wao kuendesha ndege mbovu zilizoachwa na maadui na wewe unayeshangilia wao kuziendesha nani chizi nani mzima?Ni kawaida mtu asiye na akili kudhani kua na wengine hawana akili kama alivyo yeye,sikushangai,
Hata vichaa huona wazima ndio vichaa na wao wapo sahihi.
Basi tufanye jamaa waliokota chopper hazina mwenyeww wakazitumia kupiga misele bila kuchukua tahadhari na bado wanaishiWaliweka mtego kisha wakakimbia sio? Ingekua watu kama wewe ndio mnaishi Afghanistan mngetawaliwa maisha yenu yote.
Wewe uliyekaa hapo home ukisubiri ule kisha ugombanie remote na watoto wa Dada yako na hao Wataliban wanaotake risk nani hana akili? Utakufa masikini,Mwanaume lazima atake risk.So hapa sisi tunaowashangaa wao kuendesha ndege zilizoachwa na maadui na wewe unayeshangilia wao kuziendesha nani chizi nani mzima?
Kafanye hivyo na watu wa Nyumbani kwenu.Basi tufanye jamaa waliokota chopper hazina mwenyeww wakazitumia kupiga misele bila kuchukua tahadhari na bado wanaishi
Usibadili gia tuwajadili hao vilaza,huyu unayemshambulia kuwa anagombania remote humjui hakujui,rudi kwenye mstari.uncalculated risk ni upopomaWewe uliyekaa hapo home ukisubiri ule kisha ugombanie remote na watoto wa Dada yako na hao Wataliban wanaotake risk nani hana akili? Utakufa masikini,Mwanaume lazima atake risk.
Hilo ni tatizo sheheUnaona sasa ulivyo empty upstairs? Hawajui ABC's ila wakaweza kuiwasha Ndege iliyokaa mwaka na ikawaka.
Wajinga ila wame defend nchi yao kwa miaka 20 rasilimali zao hazijaibiwa na sasa wameipata tena nchi.Hao ni wajinga tu siwezi kutake risk kwa kitu najua asilimia mia moja ntapoteza maisha kama hao jamaa.ule ni mtego waliwekewa na wamarekani