KABUL: Wapiganaji watatu wa Taliban wafariki baada ya kujaribu Kurusha Helikopta za Black Hawk zilizoachwa na Marekani nchini humo

KABUL: Wapiganaji watatu wa Taliban wafariki baada ya kujaribu Kurusha Helikopta za Black Hawk zilizoachwa na Marekani nchini humo

Wewe uliyekaa hapo home ukisubiri ule kisha ugombanie remote na watoto wa Dada yako na hao Wataliban wanaotake risk nani hana akili? Utakufa masikini,Mwanaume lazima atake risk.
Andika facts mzee acha mipasho em tuwe kama wanaume wewe kunikadiria maisha bado huwezi!!!

Nilikuuliza sisi tunaowashangaa wao kuendesha ndege mbovu zilizotelekezwa na wewe unayewatetea nani chizi nani mzima hujanijibu.
 
Waliweka Spear za China kwenye Helikopta za Marekani Sasa yamewatokea puani. Chombo chochote Cha Marekani ukibaniwa Spear zake kinabaki kuwa takataka.

Babu yangu ana Gari Aina ya Ford kutoka Marekani,ikiharibika hata Bearing inaagizwa Marekani mpaka kufika Ni Miezi 3.

Nawashangaa Urusi ambao wameshikilia ndege 500 za Boeing na Airbus eti watazitumia,(Embu nicheke kwanza). Hizi ndege tuseme ukweli TU kwamba zitabaki kuwa Scraper pale MOSCOW AIRPORT.
Wataishi nazo muda sana ila safety standards zitakuwa chini na wakati huo ndege zao kina Sukhoi Superjet100 zinategemea vifaa kibao vya makampuni ya Marekani na Ulaya. Engine, landing gear, APU, computers na makorokoro mengi hawana uwezo kuyatengeneza watalazimika waachane na production.

Watarudia ndege zao za Soviet kina Tupolev na Ilyushin ambazo mwisho ziliundwa miaka ya 1980s.

Pia watafanya kila namna wakwepe vikwazo kama Iran inavyofanya na ndege za Marekani. Wakati huo watakuwa wanahamisha parts, ndege fulani ikiharibika hiki, wanakitoa ndege nyingine kisha wanasubiri nyingine iharibike kingine tofauti watoe kwenye ile iliyotolewa cha awali. Hapo unapaki moja ili nyingine zikae angani. Ujanja huo huwa una mwisho wake
 
CCM imekutawala sasa mwaka wa 45 sijaweka kipindi ikiwa TANU umefanya nini cha kufanya wasizidi kukutawala?
Unaona jinsi ulivyo empty? Hapo umewasupport Taliban bila kujua kwa kuikomboa nchi yao,

Halafu acha kukariri maisha,wewe unajua Mimi nipo wapi?
 
Andika facts mzee acha mipasho em tuwe kama wanaume wewe kunikadiria maisha bado huwezi!!!

Nilikuuliza sisi tunaowashangaa wao kuendesha ndege mbovu zilizotelekezwa na wewe unayewatetea nani chizi nani mzima hujanijibu.
Wewe umeweka fact gani zaidi ya ushabiki wa kipumbavu? Halafu umeshajikoki kubishana na huna akili ya kuelewa hizo fact,unacomment kwa ushabiki vitu vya maana utafikiri unajadili Simba na Yanga,piga kimya kuficha ujinga wako usionekane.
 
Hilo ni tatizo shehe

Wewe na wao hapo ndipo mnapopotea akili,majuzi tulikuwa na ugomvi nikakuchakaza nikaondoka kwangu nikaacha baadhi ya zana zangu kwako wewe usijiulize kama ni mtego au siyo leo unaenda kuzidanda!!!

Una akili sawasawa?
Mtego unakuaga hivyo? Una umri gani kwanza isije ikawa naelewesha kitoto cha Darasa la Sita,hata Iraq walidump zana zao nyingi tu kuliko kuzichukua back tu US,

Kuweza kuiwasha Ndege iliyokaa muda mrefu huoni kua hiyo ni akili kubwa?
 
Usibadili gia tuwajadili hao vilaza,huyu unayemshambulia kuwa anagombania remote humjui hakujui,rudi kwenye mstari.uncalculated risk ni upopoma
Wewe ni mke wa huyo niliyemjibu na ndio maana dawa inakuingia na wewe pia? Au ndio multiple ID?
 
Back
Top Bottom