Wamemkuta humo kaburini au yuko zake peponi kwa Allah anajilia wale dada zao bikira 72? Uislamu raha sana
Niaje niaje, katika kuendeleza msururu wa matukio baadaya kuanguka utawala wa mkono wa chuma kutoka kwa familia ya asad waasi waliopindua serikali wamechoma moto kaburi la baba yake na asad.
Hii inadhihirisha kuwa kama hawa jamaa wangemkamata mikononi basi alikuwa analiwa supu kabisa .hapa naona khamenei kama jasho linalowesha kanzu yake maana na yeye ni kama alarm inalia kwenye ndevu zake.