Kaburi la baba yake Asad lachomwa moto na waasi

Wamemkuta humo kaburini au yuko zake peponi kwa Allah anajilia wale dada zao bikira 72? Uislamu raha sana


 
Hakuna nchi ya kiarabu ambayo inaweza kutawalika kidemokrasia, haipo, kama ipo itaje. Nchi zote za kiarabu zinatawaliwa kwa mkono wa chuma otherwise nchi inasambaratika kama ilivyosambaratishwa Libya, Irak, na Syria tangu 2011 na western hypocrisy.
Unafikiri tatizo linasababishwa na nini hapo? Ni Westerners tu au ni aina ya Uongozi wa kiuonevu kwa viongozi wa nchi hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…