Kaburi la hafez al assad baba yake bashar al assad limelipuliwa leo na waasi walioteka nchi

Kaburi la hafez al assad baba yake bashar al assad limelipuliwa leo na waasi walioteka nchi

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Kaburi hilo limelipuliwa na kuharibiwa vibaya mno na waasi waliochukua nchi kwa kumfurusha bashar al assad

Ikumbukwe hafez al assad aliwaua wasunni wengi sana wakati akitawala syria kwa mkono wa chuma ilibidi afanye hivyo sababu madaraka aliyapata kwa mapinduzi ya kijeshi

Hii habari inachekesha na mda huo huo inafikirisha sasa kaburi la baba yake assad linakosa gani

Tuendelee kuona yajayo
 
Info sensitive kama hii na haina ushahidi hata link ni kutukosea sana watunduizi sisi
 
Hii habari inachekesha na mda huo huo inafikirisha sasa kaburi la baba yake assad linakosa gani
Ni katika jitihada za wananchi kupunguza machungu waliyotendewa na utawala wa mhusika hakuna zaidi. Ukisikia makaburi yatachapwa fimbo ndio kama hivyo.
 
Back
Top Bottom