Kachai katamu

Kachai katamu

CHAI YA KUNUKIA HADI KWA MAJIRANI[emoji16]

Chukua iriki kias na karafuu zikaange jikoni Hadi iriki zibadilike rang usiunguze Kisha zitwange

Chemsha maji weka viungo ulivyoandaa Kisha sagia tangawiz kidogo utakuja kunishukuru[emoji16]
NB.unaweza twanga ving na ukatunza
Asante mleta uzi
 
umenichekesha sn we jamaa. yaani umenifanya nimuombe wife aniandalie hako kachai. nmempa ujumbe wako ausome naye akacheka sn. nakunywa chai hakiyanani bila kupanga. asante sn
Tatizo wabongo wanataka uwaambie inaongeza nguvu za kiume hapo wako tayari kula hata nyasi
 
CHAI YA KUNUKIA HADI KWA MAJIRANI[emoji16]

Chukua iriki kias na karafuu zikaange jikoni Hadi iriki zibadilike rang usiunguze Kisha zitwange

Chemsha maji weka viungo ulivyoandaa Kisha sagia tangawiz kidogo utakuja kunishukuru[emoji16]
NB.unaweza twanga ving na ukatunza
Asante mleta uzi
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
CC: Angel Nylon [emoji7]
 
Matayatisho

Iliki ,tangawizi ya kusaga ,majani ya chai , maziwa na maji na sukati

Jinsi ya kuitengeneza

Ni rahisi sana ufundi ni kidogo
Chemsha maji yachemke kabisa kama robo lita hivi ongeza vikombe viliwi vya maziwa kisha iliki 5 au 6 ,ongeza tangawizi kijiko kidogo majani kiasi na sukari.

Chemsha kwa dakika 5 tena ipua chuja weka kwenye thermos.

Tafuta mahali penye upepo tulivu Enjoy kachai kako katamu
Hongera Mkuu mpaka huku upo?
 
d652ccce63ed99a062d0a14b0a7f10ef.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom