Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wenye akili Huwa tunafanana Kwa mambo mengi.NI ndugu yako? Naona umeongea kwa hasira sana Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili Huwa tunafanana Kwa mambo mengi.NI ndugu yako? Naona umeongea kwa hasira sana Mkuu
Jamaa kama alikokotwa kwa lazimaHahaha mbona alivaa suti ya kijani, mseme haijakolea sana kama za wenzake.
We mwehu hakuna ccm wa kupambana na lisu hayupo ccm hamna cha kujitetea hata mtoto mdogo anawamuduHao ndio vijana waliotakiwa kuongoza,huyo Mpina anaweza kupambana na hoja za Lissu.
Ni mtu ambaye anaweza kusimama kwenye Midahalo.
MpinaKwani ni nani huyu
Hutaki wakorigane?We mwehu hakuna ccm wa kupambana na lisu hayupo ccm hamna cha kujitetea hata mtoto mdogo anawamudu
Duh! , nisanue mkuu kama inawezekana hata moja iliyo nzitoZipo mia na kadhaa bro.
M P I N AKwani ni nani huyu
😁😁mwamba atakuwa kaletwa ukumbini kwa tengaKulikoni tena mbona furaha zero kwa Mwamba wetu
😄 Kabisa huwenda aliambiwa usipokuja kura za maoni kupita sahau 🤣😁😁mwamba atakuwa kaletwa ukumbini kwa tenga
😁😁yah😄 Kabisa huwenda aliambiwa usipokuja kura za maoni kupita sahau 🤣
Mkuu hivi we unamjua vzr mnyampaa lisu kweli wewe hiiii( in magu voice )Hutaki wakorigane?
Anajua bungeni harudi kwa tiketi ya CCMKulikoni tena mbona furaha zero kwa Mwamba wetu
Hafiki hata kwenye kura za maoni huyo fomu yake itatupwa kwenye dustbin na hataweza uliza popote kwa nini hajaingizwa kwenye kundi la watia nia akashindwe kwenye kura za maoni.Hiyo nafasi hatapata fomu yake itatupwa tu dustbin case closedHawatamuengua kweli kwenye kura za maoni? Inanipa wasiwasi sana
Ndio hivyo😁😁yah
Na hicho ki clip kama masikhara kitamcost. Hapo karekodiwa makusudi
Arudi kwao akachunge ng'ombe tuJamaa ni kama ameletwa kwenye mkutano kwa Lazima, sasa atahamia chama gani
Kwa haiba na tabia zake na nafasi yake alilazimika kuwepo, ni mbunge kwa ticketi ya ccm.Jamaa kama alikokotwa kwa lazima
Mahakama inisaidie katibu mkuu anipe fomu ya mimi kugombea na inipe haki ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea nafasi ya rais wa jamhuri ya muungano wa TanzaniaKulikoni tena mbona furaha zero kwa Mwamba wetu