Kada aliyefukuzwa kwa kutomheshimu Rais Mwinyi adai kuna jambo linafichwa kujiuzulu kwa Waziri Simai

Wacha wagonjwa wauguzane
 
Interests za nani? 🤔
kila kiongozi wa kisiasa ana political interests zake,

and thus nature of politics,
ndio maana huyu anafanya vile, huyo angependelea iwe hivi na yule mwingine ana taka iwe vile,
na saa zingine mwingine kwa interest zake mpaka anagoma, anazira, ana susa au anaandamana 🐒

yote na yote hiyo ndio siasa...
 
Siasa Siasani, Fitna, Chuki, Husda, Roho Mbaya, Umimi, Undugunization
CCM Jamani Imetushinda Tabia Imeoza Sana
na kwa hulka za kinyumbu na mihemko ya kikenge ya Upinzani nchini,
CCM itawashinda kweli kweli miaka nenda miaka rudi haitawezekana 🤣
 
Ungejua Rais Samia ndiye anapeleka fedha za miradi kutoka mfuko wa Serikali ya Muungano, usingeandika utopolo huo.

Una chuki tu na Samia inayokufanya usione mapungufu ya Rais Mwinyi
 
Ok. Kwa hiyo hapa hizo tuhuma za “maslahi binafsi na maokoto” zinafit category ya political interests. Sawa.
 
Ok. Kwa hiyo hapa hizo tuhuma za “maslahi binafsi na maokoto” zinafit category ya political interests. Sawa.
kabisaaaa kabisa thr might be political interests over the issue,

tuhuma zinabaki tuhuma tu mpaka zitakapothibitishwa ni makoso pasina shaka na hiyo sasa inakua ajali ya kisiasa, political mistake or political blunder
 
Anayepeleka maendeleo Zanzibar ni samia kwa fedha za bara na si mwinyi
 
Ina maana waziri lilikuwa deal lake la hayo makampuni ya vileo aliponyang'anywa akaanza mdomo.
Bosi anapokunyang'anya deal unatakiwa kuwa mvumilivu na una set mipango mingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…