TANZIA Kada Maarufu wa CCM Jijini Dodoma, Egra Mamoto afariki dunia ghafla

TANZIA Kada Maarufu wa CCM Jijini Dodoma, Egra Mamoto afariki dunia ghafla

Serikali iwe makini ni wimbi la pili la ugonjwa wa Corona. Kwa maana hii uache kupuuzia.Vifo vya ghafla hivyo havina afya kabisa.
Peleka ujinga wako huko
 
Watu nyie amuelewi, mliambiwa msiandike habari za Covid-19, kwa nini mnaendelea?
 
Huko Dodoma huko? Yule kamishna wa polisi, yule wa Basata, Elga. Je wanaokufa na hawajulikani ni wangapi? Hivi vifo vya ghafla hivi. Mungu awapumnzishe kwa amani.
Juzi Kati mamsapu wangu ametoka Dom kwenye TAnga kufika kwao anasema anajisikia vibaya sana hawezi pumua vizuri ,
 
Huko Dodoma huko? Yule kamishna wa polisi, yule wa Basata, Elga. Je wanaokufa na hawajulikani ni wangapi? Hivi vifo vya ghafla hivi. Mungu awapumnzishe kwa amani.
Eti Mungu ameifanya Tanzania kuwa nchi pekee duniani isiyokuwa na covid 19!
 
Back
Top Bottom