Mangungo alidanganywa na Mkalimani mweusi mwambata wa Karl Peters.
Mkalimani huyo alikuwa anamtafsiria Chief Mangungo tofauti kabisa na kilichoandikwa katika mkataba!.
Tofauti ya Mangungo na hawa ni kuwa HAWA WANAJUA KILA KITU KUWA TUNAPIGWA, ILA KWA KUWA HAWATAKI KUJISHUSHA, KUWEKA EGO ZAO PEMBENI NA KUKIRI KUWA TUMEPOTOKA , WANAONA TWENDE HIVYOHIVYO MBELE BILA KUJALI CHOCHOTE!