ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Mkuu umeniuliza swali gumu sana but itoshe kusema am proud to be an engineer.Wewe ni kwa nini usingesomea tu ualimu!?
...
Mkuu usiongee ivyo hivi Unajua kuna Engineers wapo mtaani wanataabika. Na kama MTU ana njaa afanyeje na hakuna kazi hata za kujitolea. Ishu ni demand and supply ndiyo inayo determine soko ama market value ya products. Pia hujashikiwa bunduki kuziomba mkuu.Kiukweli Magufuli natimu yake wametudharau wahandinsi, nchi hii yaviwanda, iliyoanzishwa viwanda kila mahala kwa kadri wanaccm wanavyodai, miradi ya ujenzi kila mahala unamchukua kijana aliejiandaa kuwa muhandisi unataka akafundishe shule, kwa nini hawasemi na madoctor waombe kufundisha shule, kiukweli Magufuli na timu yako mmetudharau sana wahandinsi.
Naifahamu njaa mkuu, nimeiishi natoka familia masikini kabisa, nawala siwalaumu wahandinsi watakaoomba, bali nailaum Serikali kwakutaka kupoteza nguvu kazi katika kada ya uhandisi, hakuna hata graduate mmoja wauhandisi ataenda kufundisha kwa kuipenda kazi, naamini wengi wao wataenda kwasababu yanjaa, Serikali iangalie kwakweli namna yakusaidia wahandisi aisee. Hii nifedheha kwa Serikali inayojinasibu imeanzisha viwanda 8600 haliyakua kila kiwanda kikichukua wahandisi 2 graduate jumla wanapatikana wahandisi zaidi ya elfu 17.Mkuu usiongee ivyo hivi Unajua kuna Engineers wapo mtaani wanataabika. Na kama MTU ana njaa afanyeje na hakuna kazi hata za kujitolea. Ishu ni demand and supply ndiyo inayo determine soko ama market value ya products. Pia hujashikiwa bunduki kuziomba mkuu.
Hivi unaijua njaaa ama unaisikiliziaga kwa jirani tu my friend.
Mkuu umewaza kwa nini madoctor hawajaambiwa waombe?.Nimekupata mkuu pasha,pamoja sana. Ila wapo wanaopenda kufundisha sana mkuu. MIE kufundisha nilipenda ile ya chuo sema GPA haikunipenda
Wangeshirikiana na erb wahakikishe kila mradi unaofanyika engineer kweli yupo hai ama wametumia tu CV yake kuwin tenda ya kazi.Mkuu umewaza kwa nini madoctor hawajaambiwa waombe?. Kiukweli wahandisi pamoja na engineers registration body tunadharaulika sana mkuu.
Yaani ERB kazi yao nikula ada zetu zamwisho wamwak,badala iangalie namna yakusaidia wahandisi, wamekaa tupale ofisini nakujipangia kwenda kukagua miradi, iliwapate posho za 500,000 perday kila mtu. Hawana kazi kabisa nahawana namna yakusaidia graduate kabisa.
Sisi wa Mining engineering tukae wapi?Wakuu naomba tupeane tips jins ya kuomba hizo ajira za ualim kwa sisi wa kada ya engineering.
Nimeona kwenye tangazo kua tuta ajiriwa kama walimu daraja la 111b kwa wenye astashahada na 111c kwa wenye shahada za civil, electrical na mechanical.
Naomba tupeane elimu kidogo tunaombaje ombaje, kuanzia uandikaji wa barua inakuaje, na hiyo system yao inatusuport vipi sie.
Wahandisi siku hizi Ni jktKiukweli Magufuli natimu yake wametudharau wahandinsi, nchi hii yaviwanda, iliyoanzishwa viwanda kila mahala kwa kadri wana CCM wanavyodai, miradi ya ujenzi kila mahala unamchukua kijana aliejiandaa kuwa muhandisi unataka akafundishe shule, kwa nini hawasemi na madoctor waombe kufundisha shule, kiukweli Magufuli na timu yako mmetudharau sana wahandinsi.
ERB hamna kitu mzee, mwenyekiti wa bodi na management yake washaridhika, hawana jipya kabisa. Yaani wameshindwa kuongea hata naviwanda au taasisi mbalimbali wahitimu wanapomaliza wawapeleke kupata uzoefu, kiukweli ERB wanakera sana, mimi kipindi nilipomaliza walinipeleka kwenye mradi wamaji ziwa victoria kampuni fulani hivi ya wahindi wanaitwa WAPCOS nilikaa miez miwili nikaacha, nikarudi mjini kufanya mambo yangu.Wangeshirikiana na erb wahakikishe kila mradi unaofanyika engineer kweli yupo hai ama wametumia tu CV yake kuwin tenda ya kazi.
Kuna kAMPUNI zinatumia CV za engineers bila ya wao kujua. Yaani utaratibu ukiwekwa nikagundua kuna kAMPUNI inatumia cv Yangu. Yaani Ninaina Mwanza fa kama walivyoifanyia tigo
Sijakuelewa mkuu, unamanisha wahandisi ni SUMA JKT? , au umemanisha nini mkuu?.Wahandisi siku hizi Ni jkt
Tanzania ya viwanda alafu wahandisi wanaenda kufundisha form 1.Wakuu naomba tupeane tips jins ya kuomba hizo ajira za ualim kwa sisi wa kada ya engineering.
Nimeona kwenye tangazo kua tuta ajiriwa kama walimu daraja la 111b kwa wenye astashahada na 111c kwa wenye shahada za civil, electrical na mechanical.
Naomba tupeane elimu kidogo tunaombaje ombaje, kuanzia uandikaji wa barua inakuaje, na hiyo system yao inatusuport vipi sie.
Nyie wa MANING mumuombee TUNDULISU awazungumzie kuwa atahakikisha migodi yote wanao ioperate niwahandisi wazawa, labda Magufuli atawakumbuka.Sisi wa Mining engineering tukae wapi?
Mkuu nimesikitika sana kiukweli.Tanzania ya viwanda alafu wahandisi wanaenda kufundisha form 1.
Huyu Magufuli unamuwakaje hapa?Nyie wa MANING mumuombee TUNDULISU awazungumzie kuwa atahakikisha migodi yote wanao ioperate niwahandisi wazawa, labda Magufuli atawakumbuka.
Kiukweli Magufuli natimu yake wametudharau sana wahandinsi, nchi hii yaviwanda,Serikali iliyoanzisha viwanda kila mahala kwa kadri wana CCM wanavyodai, miradi ya ujenzi kila mahala unamchukua kijana aliejiandaa kuwa muhandisi unataka akafundishe shule, kwa nini hawasemi na madoctor waombe kufundisha shule, kiukweli Magufuli na timu yako mmetudharau sana wahandisi.