ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Wakuu naomba tupeane tips jins ya kuomba hizo ajira za ualim kwa sisi wa kada ya engineering.
Nimeona kwenye tangazo kua tuta ajiriwa kama walimu daraja la 111b kwa wenye astashahada na 111c kwa wenye shahada za civil, electrical na mechanical.
Naomba tupeane elimu kidogo tunaombaje ombaje, kuanzia uandikaji wa barua inakuaje, na hiyo system yao inatusuport vipi sie.
Nimeona kwenye tangazo kua tuta ajiriwa kama walimu daraja la 111b kwa wenye astashahada na 111c kwa wenye shahada za civil, electrical na mechanical.
Naomba tupeane elimu kidogo tunaombaje ombaje, kuanzia uandikaji wa barua inakuaje, na hiyo system yao inatusuport vipi sie.