RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kwahio unashauri wahandisi waombe katika wilaya mpya mpya ili wapate hizo furusa?.Ni kweli mkuu ila ukifanya kazi serikalini utaelewa mkuu. Wewe ukiwa DED, kuna miradi inahitaji usimamizi/ufatiliaji na wilaya yako na ya jirani haina engineer hata mmoja na serikali haiajiri unafanyaje? Unasimamisha shughuli zote hadi utakapopata engineer?
Obvious utatumia human resources zilizopo hata kusimamia miradi midogo na ya wastani ya ujenzi wa shule, vituo vya afya n.k
Hili ndio lamsingi ningeshauri wanaotaka kuomba waombe, wakiwa nalengo hili.Hata kama ni engineer ,muhimu kuaapply to ukipata mtaji na ukaona unajimudu kuendesha biashara zako unajitoa tu.
Nimesoma kwenye barua mbona ipo mkuu.ANUANI YA MWANDIKIWA NI IPI ?
Yaana uache utamu wa designing, uache utamu wa site , uende ukawe Mwalimu Serikali iangalie namna yakusaidia vijana, labda kama wanatafuta wazalendo ili baadae wawahamishe.Duuu mwalimu wa physics afanye kazi kama Engineer.Kuweni serious basi na huyo DED wenu.
Engineering ni zaidi ya hiyo physics.
Hakika unaweza ingia kwenye ualimu ukafia huko, huku ulihangaika na uhandisi umeme.Hapa kila mtu asikilize moyo wake unataka nini,usikurupuke kisa mtu kasema alienda akabadilisha saivi yuko kitengo, kumbukeni bahati hazifanani, kama imetokea kwa mwenzio sio lazima na kwako,matarajio yanaumiza wengi mtakuja kufa na magonjwa ya tumbo,fanya maamuzi yako binafsi kwa ajili ya maisha yako ya baadae
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Workshop bila mtaji mzee..Kama utaki kushika chaki fungua workshop yako,,,. Acha kukariri kaka,.
Hii degree ipo chuo kipi boss?.Bachelor of technical education in electrical engineering and electronics nahisi ndo wamelengwa zaidi ili kufundisha shule za tech kama tanga tech ,mtwara tech ....
MUSTHii degree ipo chuo kipi boss?.
Duuu mwalimu wa physics afanye kazi kama Engineer.Kuweni serious basi na huyo DED wenu.
Engineering ni zaidi ya hiyo physics.
Ngumu kumeza mkuu, lkn nashauri mtu kama hana kazi heri aombe. LHayo mambo yapo usiwe mbishi mdogo wangu, inaootokea hali Kama hiyo, huyo mwalim wa physics anakuwepo ofisini Kama kaimu tu ila wanaongea na wilaya ya Karibu kupata engeneer atakayekua anawasaidia kwa part time anapohitajika. Hali hii ilitokea sana baada ya uhakiki wa vyeti. Kama una engeneering omba mdogo wangu utanikumbuka.
365kHivi mwalimu wa sekondari mwenye Diploma anachukua Tsh ngapi ?
Daah hatari sana hii mishahara itasababisha watu kujinyonga.365k
Uliza vizuri suali lako mkuu.Wakuu collge education mbona sioni engineering?
Nimefika sehemu ya College education mkuu mimi nimesoma engineering je najaza nini? Kinachoonekana ni Certificate in Primary EducationUliza vizuri suali lako mkuu.
Nimekujibu comments yako kule kwenye uzi mwingine.Nimefika sehemu ya College education mkuu mimi nimesoma engineering je najaza nini? Kinachoonekana ni Certificate in Primary Education
Diploma in Secondary Education
Diploma in Primary Education
Degree
Hayo mambo yapo usiwe mbishi mdogo wangu, inaootokea hali Kama hiyo, huyo mwalim wa physics anakuwepo ofisini Kama kaimu tu ila wanaongea na wilaya ya Karibu kupata engeneer atakayekua anawasaidia kwa part time anapohitajika. Hali hii ilitokea sana baada ya uhakiki wa vyeti. Kama una engeneering omba mdogo wangu utanikumbuka.