Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise!Tulia nyie hamuwezi kuajiriwa wote serikalini tafuteni cha kufanya mpendwa! Ukiwa busy na mambo yako ya kufanya huwezi kuwaza mambo haya ya ajira
Kama una GPA chini ya 3 itakuwa ngumu kukumbukwa, labda uwe mtu wa ibada sana.Toka sekretarieti ya ajira imesitisha kufanya interview kada ya ualimu mbona hamna kipya wala taarifa yeyote tuliyopewa it's like tupo gizani kisa.
Hatuna cha kuwafanya naombeni utumishi na serikali muwe na ubinadamu mbona afya mmewaajiri?
Acheni kuwadanganya walimu gpa ina uhusiano gani na ajira za shule ya msingi na sekondariKama una GPA chini ya 3 itakuwa ngumu kukumbukwa, labda uwe mtu wa ibada sana.
Kwa mfano ikiwa na uhusiano, kuna tatizo gani ?Acheni kuwadanganya walimu gpa ina uhusiano gani na ajira za shule ya msingi na sekondari
TA ndo wanaangaliwa GPA huko kwingine kigezo ni pass tuKwa mfano ikiwa na uhusiano, kuna tatizo gani ?
Nimekuuliza wakiamua kuajiri waliofaulu kuanza Gpa ya 3 kuna tatizo gani ?TA ndo wanaangaliwa GPA huko kwingine kigezo ni pass tu
Kumbe "waki"? Hapo sawa comments yako ilikuwa straight sana kama wewe ndio katibu mkuu wa utumishiNimekuuliza wakiamua kuajiri waliofaulu kuanza Gpa ya 3 kuna tatizo gani ?
Usaili,??? Utasubiri embe chini ya mbuyuKumbe "waki"? Hapo sawa comments yako ilikuwa straight sana kama wewe ndio katibu mkuu wa utumishi
Acha kuwapotosha watu GPA haitatumika kuwaajiri walimu usaili upo kama kawa
kwani bado mnaumwa si inasemekana mmeshaponaTupo kutibiwa kwanza
Kuwa na Subra
Baada ya tarehe 27 utanipa jibuUsaili,??? Utasubiri embe chini ya mbuyu
Nani anaumwa ? Tunamuombea apone.Tupo kutibiwa kwanza
Kuwa na Subra
Yeah, vizuri kabisakwani bado mnaumwa si inasemekana mmeshapona