Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Mkuu unanichekesha ujue,,eti tutalizingatia,,,Muda wote Utumishi Bado hawajapanga tuGPA ya 3 ya Tumaini University huwezi fananisha na GPA ya 3 ya Udsm au SUA, hilo tutalizingatia pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unanichekesha ujue,,eti tutalizingatia,,,Muda wote Utumishi Bado hawajapanga tuGPA ya 3 ya Tumaini University huwezi fananisha na GPA ya 3 ya Udsm au SUA, hilo tutalizingatia pia.
Mambo mengi mkuu, ila faili la walimu litafanyiwa kazi soon.Mkuu unanichekesha ujue,,eti tutalizingatia,,,Muda wote Utumishi Bado hawajapanga tu
Let wait January inafika watoto wengi hakuna walimuMambo mengi mkuu, ila faili la walimu litafanyiwa kazi soon.
Watasoma kama walivyosoma mwaka 2024.Let wait January inafika watoto wengi hakuna walimu
Alright DiasporaWatasoma kama walivyosoma mwaka 2024.
😄Watasoma kama walivyosoma mwaka 2024.
Ninyi wenyewe mmejirahisisha kwa kuwa makuadi wa siasa za uchaguzi, subirini 2025 mkaibe maboksi ya kura bandia na kuengua wapinzani, mmeua profesheniToka sekretarieti ya ajira imesitisha kufanya interview kada ya ualimu mbona hamna kipya wala taarifa yeyote tuliyopewa it's like tupo gizani kisa.
Hatuna cha kuwafanya naombeni utumishi na serikali muwe na ubinadamu mbona afya mmewaajiri?