Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 878
- 1,195
Anahitajika mwalimu wa English and literature
Chemistry and physics
Chemistry and biology
Chemistry and physics
Chemistry and biology
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scale ikojeAnahitajika mwalimu wa English and literature
Chemistry and physics
Chemistry and biology
Juu ya laki 6 na chini ya milion 1Scale ikoje
Mkoa na shule yaitwajeJuu ya laki 6 na chini ya milion 1
Free house
Umeme na maji
Nssf
Shamba free
Malipo ya masomo ya jioni
Free bima
Shule ipo morogoroMkoa na shule yaitwaje
Ok ntakupm mkuuShule ipo morogoro
Kwamba Utumishi wamesimisha interview kisa Uchaguzi pole!Soma interview unatakiwa kupata sio chini 90% uende kwenye oral interview na hapo hujafanya practical interview ....Uchaguzi ukipita tu unaendwa kukandwa utakuja kulia hapa paper haieleweki umepewa muda wa kujiandaa vizuri ww unaona mwingiiiii.
Hakuna uhusiano wa uchaguzi na usaili wa walimu. Dont be fooled.Soma interview unatakiwa kupata sio chini 90% uende kwenye oral interview na hapo hujafanya practical interview ....Uchaguzi ukipita tu unaendwa kukandwa utakuja kulia hapa paper haieleweki umepewa muda wa kujiandaa vizuri ww unaona mwingiiiii.
Watu wanalishana tango poriHakuna uhusiano wa uchaguzi na usaili wa walimu. Dont be fooled.
Anahitajika mwalimu wa English and literature
Chemistry and physics
Chemistry and biology .nipo physics na mathematics nipe ramani
Ili la GPA na mimi nimelisikiaKama una GPA chini ya 3 itakuwa ngumu kukumbukwa, labda uwe mtu wa ibada sana.
Toka sekretarieti ya ajira imesitisha kufanya interview kada ya ualimu mbona hamna kipya wala taarifa yeyote tuliyopewa it's like tupo gizani kisa.
Hatuna cha kuwafanya naombeni utumishi na serikali muwe na ubinadamu mbona afya mmewaajir
Watu wanadanganyana kwamba usaili umefutwa hilo ni jambo ambalo haliwezekani na halijawahi kufanyika na utumishi habari za ajira ni mambo ya kisiasa kwaiyo mwakani kuanzia January au February ndio watatoa ajira ila suala la kuajiri bila interview kwa utumishi hio kitu hamna. Na anaesema wanaajiri bila interview amepata wapi taarifa maana serikali ilichosema ni kwamba imesitisha ila itatangaza tena mda wa interview.na utumishi wanakawaida ya kusitisha interview baadae wakaitisha Tena na kama wangefanya bila interview wangetoa mwongozo maana mpaka muda huu kama ni kuselect majina taari washachagua bado tu kutangazwa. Kwaiyo mtu akikuambia Amna interview ni uongo na utapeliTulia nyie hamuwezi kuajiriwa wote serikalini tafuteni cha kufanya mpendwa! Ukiwa busy na mambo yako ya kufanya huwezi kuwaza mambo haya ya ajira
Yani hapo kua mpole ndugu mpaka January au February maana hizi ni siasa ila interview ipo 100% kama huamini subiria utaona huu mwezi wa 12 ukipita bila hayo majina ambayo watu wanasema yatatoka bila interview. Utumishi kauli mbiu yao ni kuajiri kwa interview maana afya pia wamefanyiwa na walio feli wameachwa kwaiyo ww mwalimu ni Nani hasa uajiriwe bila interview na wenzio wamefanya?Toka sekretarieti ya ajira imesitisha kufanya interview kada ya ualimu mbona hamna kipya wala taarifa yeyote tuliyopewa it's like tupo gizani kisa.
Hatuna cha kuwafanya naombeni utumishi na serikali muwe na ubinadamu mbona afya mmewaajiri?
Baada ya pdf ntakukumbusha hii comment yakoYani hapo kua mpole ndugu mpaka January au February maana hizi ni siasa ila interview ipo 100% kama huamini subiria utaona huu mwezi wa 12 ukipita bila hayo majina ambayo watu wanasema yatatoka bila interview. Utumishi kauli mbiu yao ni kuajiri kwa interview maana afya pia wamefanyiwa na walio feli wameachwa kwaiyo ww mwalimu ni Nani hasa uajiriwe bila interview na wenzio wamefanya?
GPA ya 3 mbona ni maelfu wanazo labda za 3.5+Kama una GPA chini ya 3 itakuwa ngumu kukumbukwa, labda uwe mtu wa ibada sana.
GPA ya 3 ya Tumaini University huwezi fananisha na GPA ya 3 ya Udsm au SUA, hilo tutalizingatia pia.GPA ya 3 mbona ni maelfu wanazo labda za 3.5+
Ni kweli Kuna vyuo vinagawa GPA kama njigu, by the way pdf la walimu had lini,,, January inakarbia no teachersGPA ya 3 ya Tumaini University huwezi fananisha na GPA ya 3 ya Udsm au SUA, hilo tutalizingatia pia.