Kadampinzani asema: MBOWE AHOJIWE!

Status
Not open for further replies.

blah blah ! acha kutype pumba zako ili upunguze global warming !
 

KUna watu hapa wanaweza kujiita jokeri na sio wewe.

Mimi hapa nafurahi vile unavyozidi kujianika ufisadi wako mwenyewe. Maana sasa hutakuwa na yale ya kusema kuwa watu wasome posts zako sijui za mwaka gani.

Mimi nakusubiria tu hapa hadi kieleweke. Usijekuishiiwa na kuanza kubandika picha na vimisemo badala ya hoja kama kawaida yako ukiishiwa hoja hapa.

Hata mimi nakuunga mkono kuwa MBowe ahojiwe na kushitakiwa ili angalau wezi na mafisadi wa ccm watoe statements zao kwenye wizi wa BOT na kifo cha Ballali.
 
usikimbie tu hapa leo ! na kutapatapa kwako huko ! ushajitia aibu tupu dogo ! kwa kuwa umelikoroga lazima ulinywe !

kwi kwi kwi..

wa kukimbia hapa ni wewe. mara ohh nilikuwa nimetoka kidogo mara ohhh nimepata picha ya MBowe. FIsadi mkubwa nani akukimbie wewe?
 
kwi kwi kwi..

wa kukimbia hapa ni wewe. mara ohh nilikuwa nimetoka kidogo mara ohhh nimepata picha ya MBowe. FIsadi mkubwa nani akukimbie wewe?

jokeri mie wewe ushajijua nani ! butty camp mbona mtajazana humu ! najua mmezaliana kama uduvi, tatizo ni kujileta tu humu !
 
jokeri mie wewe ushajijua nani ! butty camp mbona mtajazana humu ! najua mmezaliana kama uduvi, tatizo ni kujileta tu humu !

viroja... ushatoka kwenye mada yako mwenyewe uliyoanzisha. Usicheze na JF.

nakuhesabia tu misemo na picha utakazowekwa hapa. Unatia aibu na huruma sasa.
 
viroja... ushatoka kwenye mada yako mwenyewe uliyoanzisha. Usicheze na JF.

nakuhesabia tu misemo na picha utakazowekwa hapa. Unatia aibu na huruma sasa.

profesa Rudigo hajambo ? nasikia anakufagilia sana kule butty camp sana sana wewe butty boy, ni kweli ? naskia wanataka wakuuze kwa kuwa umejifunza kutype na kutumia mtandao !
 
profesa Rudigo hajambo ? nasikia anakufagilia sana kule butty camp sana sana wewe butty boy, ni kweli ? naskia wanataka wakuuze kwa kuwa umejifunza kutype na kutumia mtandao !

Fisadi kaishiwa.

Wamekuahidi nini ukifikisha posts elfu tano?
 


Jamani whats the beef, Kada anataka vyombo vya dola kumuhoji Mbowe; Wakimaliza kumuhoji watuletee taarifa hapa. Mchezo umekwisha. Sisi tusonge mbele kumkoma Nyani Giladi.
 
Jamani whats the beef, Kada anataka vyombo vya dola kumuhoji Mbowe; Wakimaliza kumuhoji watuletee taarifa hapa. Mchezo umekwisha. Sisi tusonge mbele kumkoma Nyani Giladi.

sasa watu wanaleta frustrations zao hapa, hata sijui kama walielewa nilichosema lakini wakaamua kudandia treni kwa mbele, na kulikoroga na kilichobaki ni lazima alinywe au atangaze hadharani hapa JF kwamba amelishindwa kulinywa !

Kuendelea kumkoma nyani atakomwa, lakini hawa wanafunzi wa butty camp wanaojazana humu na kuongeza global warming watapigwa vidochi kama kada hawafahamu !
 
Jamani whats the beef, Kada anataka vyombo vya dola kumuhoji Mbowe; Wakimaliza kumuhoji watuletee taarifa hapa. Mchezo umekwisha. Sisi tusonge mbele kumkoma Nyani Giladi.

Mbowe akikataa kuhojiwa kwa hiari iweje, akamatwe?
 

Nilishawaambia huko ccm mumhoji na kumshitaki mbowe kama kuna ubavu huo.

Zaidi naendelea kukuchezesha kama pele vile...

hesabu inaendelea... nane...
 
Nilishawaambia huko ccm mumhoji na kumshitaki mbowe kama kuna ubavu huo.

Zaidi naendelea kukuchezesha kama pele vile...

hesabu inaendelea... nane...

mbona usharushwa mpira wa kona na watu wanakugombania, baada ya hapo unatupwa butty camp ! mwalimu wako booty man anakusubiri huko !
 
either tutajua ni mropokaji !
anapakaza ili kujinufaisha kisiasa
anataka mafisadi waendelee kuuliwa huku ufisadi ukishamiri na watz wakiendelea kufa
au ana mtindio wa akili !

mafisadi hakuna chochote mnachojua zaidi ya kuiba mali za wananchi. Mwenye ubavu amhoji Mbowe..... nane....
 
Swali muhimu sana hili... mimi ningeshauri akamatwe ili kazi ianze.

Unadhani wale vijana waliokamatwa kwa kumuita Mkapa fisadi ilkuwa ni sawa?

Ulichukua mwelekeo gani katika ule mjadala?
 
Serikali inatakiwa kutenda haki kwa raia wake wote wawe wa upinzani au wa chama tawala. Kama wanashindwa kuwakamata wezi wa mabillioni ya EPA na wengineo hawawezi kumkamata raia yoyote ambaye hajavunja sheria.

Ushahidi mkubwa upo kwa wale waliojiuzulu lakini serikali inasuasua tu utafikiri tunaongozwa na vipofu au majuha wasiojua jua linachomoza wapi.
 

Hawajahojiwa mafisadi wa shilingi bilioni 288 na Kiwira Coal Mining akiwamo fisadi Mkapa na huku miezi inakatika, lakini mnataka Mbowe aliyetoa kauli juzi ahojiwe!!!! Kweli Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu maana vipaumbele vya wengi wetu vimekaa kinyumenyume!!Wacha mafisadi waendelee kutufisadi maana wameshagundua hakuna cha kuwatisha. Siri kali inawaogopa eti wakikamatwa nchi italipuka, wananchi wengine bado wanawatetea mafisadi kwa nguvu zao zote eti kwa sababu tu ni wanachama wenzao wa chama cha mafisadi!!! Mwe! inasikitisha sana!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…