KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
- Thread starter
- #141
Wewe ni fisadi na mtetezi wa ufisadi na posts zako ndizo zinaonesha hapa. Sio mimi nilikulazimisha utetee ufisadi hapa JF. Au yale uliyosema to urge with people.
kwa vile mimi sioni mioyo ya watu bali maandishi yao hapa, nimekuita fisadi kwa kadri ya maandishi yako hapa ya kifisadi na utetezi wa ufisadi.
blah blah ! acha kutype pumba zako ili upunguze global warming !