KadaMpinzani asema: Mnyika,Mbowe na Slaa tulieni kama maji ya kwenye mtungi !!

KadaMpinzani asema: Mnyika,Mbowe na Slaa tulieni kama maji ya kwenye mtungi !!

yaani the difference between hizo posts zako ni dakika 4, you expected me to write within 4 minutes of your request ? hahaaaa, anyway acha zako wewe mimi simjui mtu yoyote wa usalama, nitaandika usihofu !

Ufupi wa post zangu ni kuwa hujaelezea kitu na hiyo ilikuwa mara ya pili kukuomba uelezee huo ufisadi na hasa mimi nilisema nina shauku ya kujua ufisadi a Dr.Slaa na toka ulipoandika sijaona ulipota hizo shutuma zako na kuweka ushahidi.
 
BI KIREMBWE aka BIKHOLE....! MBONA MANENO YANAANZA KUKUTOKA....! MTU AKITOA HOJA ILIYOENDA SHULE ANAKUWA ANATUNGIWA.....? KWA NINI ASITUNGIWE NA PCCB,MBOWE,ROSTAM,CHADEMA AU CCM.....!

Usalama wa Taifa is the Master of the Game katika propaganda na hii thrad wewe unayoiita ILOENDA SHULE haitakuwa hivyo hadi KadaMpinzani amwage vitu tuvione otherwise nitamshtumu kuwa hana hoja na anawasubiri hao jamaa - Kumbuka huyo ni Kada na kuna msemo usemao mwendawazimu haponi ili hupungua tu.
 
Back
Top Bottom