Kadhi courts has no place in the constitution

Hiyo katiba mpya ni lugha tu. Unaweza pia kuita ni marekebisho ya katiba iliyopo.

Kama katiba tunaweza kuifanyia marekebisho, kwa nini tusiweze kuufanyia marekebisho mfumo wa sheria uliopo kama hauikidhi matakwa na haja ya jamii?

Kwa nini tunaifanyika katiba marekebisho?
 
'Ili watu wa Kitabu wajue kwamba wao hawana uweza wowote juu ya fadhila za Allah. Na fadhila zote zimo mikononi mwa Allah. Humpa amtakaye. Na Allah ndiye mwenye fadhila kuu.
Qur'an:57:29
Why is Allah calling Christians people of the book?
 
'Ili watu wa Kitabu wajue kwamba wao hawana uweza wowote juu ya fadhila za Allah. Na fadhila zote zimo mikononi mwa Allah. Humpa amtakaye. Na Allah ndiye mwenye fadhila kuu.
Qur'an:57:29
You are having day dreams young muhammadan.
 
........Mbona unajichanganya Mgalatia ! TanzaniaLaw, .........sasa Biblia ndio Injil au Tourat !?.......kweli nyie ni vipofu, viziwi !
Qur'an hainukuu Biblia bali inaikanusha.........Biblia imeharibu yote ya Injil na Tourat
Is there Injil in the Quran? Is there Taurat in ISLAM? Can you show me young muhammadan?
 
Is there Injil in the Quran? Is there Taurat in ISLAM? Can you show me young muhammadan?

Musa AS, alifundisha Mungu Mmoja, Yesu AS alifundisha Mungu Mmoja na Muhammad SAW alifundisha Mungu Mmoja.....Biblia waungu watatu ! :hand: Ishmael
 
Last edited by a moderator:
Why is Allah calling Christians people of the book?

....People of the Book ni wale waliofuata mafundisho ya Yesu (Mungu Mmoja - Injil) na si wale waliofuata mafundisho yaliyochakachuliwa (miungu watatu - Biblia) TanzaniaLaw aka ISHAMael
 
Last edited by a moderator:
Musa AS, alifundisha Mungu Mmoja, Yesu AS alifundisha Mungu Mmoja na Muhammad SAW alifundisha Mungu Mmoja.....Biblia waungu watatu ! :hand: Ishmael
Just show me the word Islam in the Taurat. I don't have time with Spins and mambo jumbos.
 
Quran sasa imekuwa Injil,

KUMBE QURAN NI MKUSANYIKO WA VITABU

MSIBA HUUU

Niletee Injil Bana.

'Mteremsho wa Kitabu hiki (Qur'an) umetokana na Mwenyezi Mungu, Mwenye Nguvu, Mwenye Hekima.

'Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki (Qur'an) kwa Haki.Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.

'Hakika Dini safi ni ya Mwenyezi Mungu tu, na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutusogeza kumkaribiu Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitilafiana. Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo (na) kafiri.

'Lau kuwa Mwenyezi Mungu angetaka kuwa na mwana basi bila shaka angeli mteua amtakaye katika alio waumba. Subhanahu, ametakasika na hayo ! (ya uzushi kuwa ana mwana !) Yeye ni Mwenyezi Mungu Mmoja, Mtenda atakalo.

'Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchna juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimoja wapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni (ili) mtanabahi ! Yeye ndiye Mwenye Nguvu, Mwenye Kusamehe!

'Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe (Hawa) katika nafsi ile ile. Kisha akakuleteeni wanyama wa mifugo jozi nane. Akakuumbeni katika matumbo ya Mama zenu, umbo baada ya umbo (hatua kwa hatua !) katika viza (mifuko) mitatu. Huyu Ndiye Mwenyezi Mungu. Mola wenu Mlezi. Ufalme ni wake. Hapana mungu (mwingine) isipokuwa Yeye. Basi nyinyi (makafiri) mnageuzwa wapi !? (nani anaye wadanganya !?)

'Mkikufuru basi Mwenyezi Mungu si mwenye haja nanyi, lakini hafurahii kukufuru kwa waja wake. Na mkishukuru, Yeye hufurahika nanyi. Wala mbebaji habebi mzigo wa mwingine. Kisha marejeo ni kwa Mola wenu Mlezi. Hapo atakuambieni mlokuwa mkiyafanya. Hakika Yeye (Mwenyezi Mungu) ni Mwenye kuyajua yaliyomo vifuani (mwenu).

.................................Starehe na ukafiri wako (ni) kwa muda mchache. Kwani hakika wewe utakuwa miongoni mwa watu wa motoni.

....................ati watakuwa sawa wale wanao jua na wasio jua !? Hakika wanao kumbuka ni wale walio na akili.

Qur'an: 39:1-9
 

Mawazo mazuri ila huna elimu juu ya unaloongelea ni bora Hilo kundi unaloliita dogo japo wamegeuza walio wengi kuwa ndio wachache.Hujiulizi kwa nini Tanzania tu ndio Kuna utata kama si urafiki? Kenya ni asilimia ngapi ya Hao wanaoitwa minority hapa nchini? Tuwe makini sana na kashfa hizi
 
'Mteremsho wa Kitabu hiki (Qur'an) umetokana na Mwenyezi Mungu, Mwenye Nguvu, Mwenye Hekima.


Qur'an: 39:1-9
Unaanza kukimbia mapema hii.

MIMI NAKATA INJIL ILIYO teremshwa na Allah na sina muda na Quruani, AU kuruani sasa ni Biblia "mkusanyiko wa vitabu"?
 
Unaanza kukimbia mapema hii.

MIMI NAKATA INJIL ILIYO teremshwa na Allah na sina muda na Quruani, AU kuruani sasa ni Biblia "mkusanyiko wa vitabu"?

...........starehe (na) ukafiri wako ni kwa muda mchache.....!

............ati watakuwa sawa wanao jua na wasio jua !? Hakika wanao kumbuka ni wale walio na akili !

Qur'an: 39: 8-9
 
...........starehe (na) ukafiri wako ni kwa muda mchache.....!

............ati watakuwa sawa wanao jua na wasio jua !? Hakika wanao kumbuka ni wale walio na akili !

Qur'an: 39: 8-9

MIMI NAKATA INJIL ILIYO teremshwa na Allah na sina muda na Quruani, AU kuruani sasa ni Biblia "mkusanyiko wa vitabu"?
 
...........starehe (na) ukafiri wako ni kwa muda mchache.....!

............ati watakuwa sawa wanao jua na wasio jua !? Hakika wanao kumbuka ni wale walio na akili !

Qur'an: 39: 8-9

MIMI NAKATA INJIL ILIYO teremshwa na Allah na sina muda na Quruani, AU kuruani sasa ni Biblia "mkusanyiko wa vitabu"?

Jifurahishe tu Kafiri !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…