Kadhi courts has no place in the constitution

Mwaka huu na kuendelea Iwe mvua ama jua kali hamuwezi tena kuwaburuza waislam...


Ayaaaa we Granta umetokea wapi wewe,naona umepotea njia kabisa humu malumbano ya dini hayana nafasi hivi wewe Katiba na masuala ya dini wapi na wapi,Kwa taarifa yako katiba pendekezwa imeweka usawa kwa dini zote, sasa unataka wewe dini yako iingizwe kwenye katiba Daaaa ama kweli una upungufu wa madini joto afu unahamasisha iwe mvua iwe jua nenda oman,iraq au somalia tuachie Tanzania yetu ya Mwalimu Nyerere SOMA IBARA YA 41 uhuru wa imani ya dini Katiba Pendekezwa (3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za mamlaka ya serikali, katiba yenye kifungu hiki ndiyo itakayopigiwa kura na watu wa dini zote.
 





Wee vipi hii topic umeiokota wapi?kwanza wewe umetokea wapi?naona umepotea njia kabisa humu malumbano ya dini hayana nafasi hivi wewe Katiba na masuala ya dini wapi na wapi,Kwa taarifa yako katiba pendekezwa imeweka usawa kwa dini zote, sasa unataka wewe dini yako iingizwe kwenye katiba Daaaa ama kweli una upungufu wa madini joto afu unahamasisha iwe mvua iwe jua nenda oman,iraq au somalia tuachie Tanzania yetu ya Mwalimu Nyerere .

SOMA IBARA YA 41 uhuru wa imani ya dini Katiba Pendekezwa (3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za mamlaka ya serikali, katiba yenye kifungu hiki ndiyo itakayopigiwa kura na watu wa dini zote.
 
Ndio Mkuu, taratibu wataelewa tu. Na sis tusikate moyo, tuendelee kufundisha Mungu. Barikiwa sana Kuu.


 
I see, thank you
 
ISHMAELI

malumbano ya dini hayana nafasi hivi wewe Katiba na masuala ya dini wapi na wapi,Kwa taarifa yako katiba pendekezwa imeweka usawa kwa dini zote, sasa unataka wewe dini yako iingizwe kwenye katiba Daaaa ama kweli una upungufu wa madini joto afu unahamasisha iwe mvua iwe jua nenda oman,iraq au somalia tuachie Tanzania yetu ya Mwalimu Nyerere SOMA IBARA YA 41 uhuru wa imani ya dini Katiba Pendekezwa (3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za mamlaka ya serikali, katiba yenye kifungu hiki ndiyo itakayopigiwa kura na watu wa dini zote.
 
 
... your logic is flawed. Deeply and critically flawed.

And the vice versa is tru to you. Wewe gaidi wewe kojoa ukalale watu wameshakujua wewe umetumwa na dola ya KIISLAM ya ISIS huna hoja humu zaidi ya hizo za kadhi.
 
... your logic is flawed. Deeply and critically flawed.
Wewe lijibaba la wapi wewe usie na sura hata ya Utanzania? umetokea wapi mbona unaonekana kama kibaraka humu ndani, ondoka bhana hatuhitaji magaidi humu huoni aibu? kama huwezi rudi kwenu Iraq
 
Wewe lijibaba la wapi wewe usie na sura hata ya Utanzania? umetokea wapi mbona unaonekana kama kibaraka humu ndani, ondoka bhana hatuhitaji magaidi humu huoni aibu? kama huwezi rudi kwenu Iraq
 
And the vice versa is tru to you. Wewe gaidi wewe kojoa ukalale watu wameshakujua wewe umetumwa na dola ya KIISLAM ya ISIS huna hoja humu zaidi ya hizo za kadhi.
You don't need to copy me Muzzrat.

Your statement is bogus as Satanic.
 
Waambie wanao taka kuweka dini kwenye KATIBA na sio MIMI.

 
You don't need to copy me Muzzrat.

Your statement is bogus as Satanic.

ha ha ha ha ha confusion usipime na huu ni mwanzo tu, je ikianzishwa si ndio hivyo vidole vitaisha kwakukatwa ha ha ha ha katiba pendekezwa forever,Nonchance for Kadhi court! Ha ha ha ha
 


katiba inayopendekezwa....... Big no to kadhi court.





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…